CHADEMA waanza kuiga mambo ya ACT Wazalendo

CHADEMA waanza kuiga mambo ya ACT Wazalendo

Hahaha. Kuishi kwingi kujifunza mengi. Kumbe ili kuitisha makongamano na mikutano mbalimbali lazima itajwe katika Katiba???[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Katiba ya ACT wazalendo inataka chama kifanye kongamano la kisera kwa mwaka mara moja.

CDM inajikurupukia tu, maana chama hakina ajenda kuu wanayoisimamia.
 
Nahisi kuna tatizo ktk nchi yangu ya Tanzania,Mh Lissu aliwahi kunukuliwa kwenye Bunge la katiba kuwa hayati Mwl Nyerere alipora mamlaka huru ya Zanzibar,akaenda mbali kwa kuomba wazanzibar wadai haki yao,leo mtu yuleyule anahubiri vitu vingine ngoja tuone
Kwani kudai uhuru rasmi wa Zanzibar na kuhusu kupora mamlaka kunamuondolea haki ya kudai katiba ya wananchi?

Unajua 14/10 kila mwaka ni Nyerere day?

Haya jiongeze
 
Mikutano IPO aina nyigi sio lazima iwepo kikatiba ndo maana hata wewe ukitaka unaweza kuwaalika ndugu jamaa na marafiki mkafanya kikao MF harusi maandalizi au kipaimara ili mradi tu msivunje SHERIA.
Alf hawa jamaa hawajui watz wanataka nin au binadamu by nature huwa anataka nin, wao wanafikr kuipinga chadema inaweza kuwasaidia kutoka, kwa ninavoziona siasa za nchi hii ACT wanajizika mazimamazima.Muda utatwambia
 
Yaani kufanya mikutano ni kuiga? Watanzania bwana raha sana kwa fikra mfu.
Ni sawasawa na ujenge barabara halafu mtu aseme umeiga Ulaya. Ni kitu common kwa chama chochote.
Ukisema chama A kina ilani fulani, basi chama B kikiwa na ilani fulani hapo utasema chama B kimeiga chama A? Its low mindset!
 
Km Unadhani CHADEMA wanaiga, na wanaiga mambo mazuri kuna shida gani?
Eti bwana! Wao wameinga kwa nani, maana sio chama cha kwanza cha siasa. ACT wamefanya jambo jema kabisa, wengine "tukiinga" hamna shida.
 
Nahisi kuna tatizo ktk nchi yangu ya Tanzania,Mh Lissu aliwahi kunukuliwa kwenye Bunge la katiba kuwa hayati Mwl Nyerere alipora mamlaka huru ya Zanzibar,akaenda mbali kwa kuomba wazanzibar wadai haki yao,leo mtu yuleyule anahubiri vitu vingine ngoja tuone

Hajawahi kusema Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hakutenda mazuri hata moja. Aliongelea suala la muungano tu na maisha ya Mwalimu, ni zaidi ya muungano. Mwalimu alikuwa mwasisi wa siasa ya ujamaa na kujitegemea, alipigania uhuru wa nchi yake. Mwalimu haepukiki kwa vyovyote.
 
Nahisi kuna tatizo ktk nchi yangu ya Tanzania,Mh Lissu aliwahi kunukuliwa kwenye Bunge la katiba kuwa hayati Mwl Nyerere alipora mamlaka huru ya Zanzibar,akaenda mbali kwa kuomba wazanzibar wadai haki yao,leo mtu yuleyule anahubiri vitu vingine ngoja tuone
Jaribu kufuatilia kundi kubwa linalomuunga mkono Tundu ni vichaa
 
Hajawahi kusema Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hakutenda mazuri hata moja. Aliongelea suala la muungano tu na maisha ya Mwalimu, ni zaidi ya muungano. Mwalimu alikuwa mwasisi wa siasa ya ujamaa na kujitegemea, alipigania uhuru wa nchi yake. Mwalimu haepukiki kwa vyovyote.
Ngoja nikuambie kijana pengine bado ulikuwa mdogo...alisema...''Mwl.Nyerere alikuwa anaishi kwa uongo.......''...Tundu ana laana ndio maana juzi tu amesikika akimlilia JK
 
Chadema wanafanya mikutano,ccm wanafanya mikutano, cuf n.k kawaida hakuna kuigana
Tatizo hapa ni kubeba hoja...ZZK alianza na hoja ya kudai demokrasia tokea mwezi wa sita huku akiwaalika wabunge wenzie Mbowe na Tundu wakamkwepa, Ajizi nyumba ya njaa....wakabadili na kuja na kituko ukuta..hadi sasa ukuta unawatafuna wenyewe.
 
ACT nadhani wanajielewa,wanafanya siasa safi kama za ccm.
 
uhitaji wa katiba gani wakati mlitoka nje wenyewe....labda kuwe hakuna posho kwenye vikao vipya.......maana nyie ni wapiga dili tu....
 
Nahisi kuna tatizo ktk nchi yangu ya Tanzania,Mh Lissu aliwahi kunukuliwa kwenye Bunge la katiba kuwa hayati Mwl Nyerere alipora mamlaka huru ya Zanzibar,akaenda mbali kwa kuomba wazanzibar wadai haki yao,leo mtu yuleyule anahubiri vitu vingine ngoja tuone
Tayari umeshaonyesha ranging yako. Utajadilije jambo kwa hisia kabla hujamsikiliza? Na ile kauli yake kwenye bunge la katiba nadhani iko kiwango cha juu sana kwako kuweza kuijadili, ungesoma mawazo ya wengine ingekusaidia kuelewa.
Au wewe ndio msemaji wa ACT?
 
Mleta thread unasema baba anamuiga mtoto kufanya mapenzi?

hivi bila baba(CDM) kufanya mapenzi mtoto(ACT) angezaliwa?

huyu mtoto haramu anakufuru aisee.
 
Katiba ya ACT wazalendo inataka chama kifanye kongamano la kisera kwa mwaka mara moja.

CDM inajikurupukia tu, maana chama hakina ajenda kuu wanayoisimamia.

mkuu yani hadi Afande Sele amekuzidi akili na upeo?
 
80235df5b4cfbbde3bcd382d1c272c47.jpg


Hatimaye Chadema wameanza sasa kuiga mambo ya chama cha ACT-WAZALENDO ni baada ya Chama cha ACT-WAZALENDO kufanya mkutano Mkuu wa Kidemokrasia ambao upo kulingana na katiba ya Chama cha ACT-WAZALENDO.

Baada ya mkutano wa ACT-WAZALENDO kuwa wenye mafanikio makubwa;Chadema nao wametangaza mkutano kama ule ambao utafanyika kanda ya Kaskazini tarehe 14/10/2016.

Huu sasa ni wakati wa Chadema kuachana na siasa ya matukio.Kwani Chadema imekuwa ikiongozwa kwa matukio.

Hili linalofanywa na Chama cha ACT-WAZALENDO ni funzo kwa vyama vingine kuendesha siasa za masuala na kujadili sera, katiba, hali ya uchumi wa nchi na uendeshaji wa chama kwa kushirikisha wanachama na wasio wanachama wa chama husika.
CHADEMA ni chama kikubwa sana, huwezi kukilimganisha na hicho Chama cha kigoma
 
mbadala kwa ccm au chadema? ina maana Act wanapambana na chadema? nacheka sana....
Act inapambana na uchafu uwepo ccm,chadema, Tlp, Nccr ,Nld na kungine kokote, Act haita sita kupambana nao.......Ndivo tunavofanya
 
Hahahaha naona colabo la ACT Mwandiga na CCM dhidi ya wababe wa demokrasia Chadema .......chadema ni kama maji uaipoyanywa utayaoga hadi kuchambia
 
Sasa yapo kwenye katiba ya Chadema?

Nilitaka nikutusi ila nimeona si vema,. Naomba nikuelimishe, Kwanza Katiba sio Quruan wala Bibilia visivyo badilika Pili, Siasa ni matukio , Huwezi endelea kudai uhuru wakati uko huru, Kabla ya 1961 Nyerere na wenzake waliendesha siasa za kudai uhuru baada ya hapo walipata uhuru wakabadilisha mwelekeo wa siasa,, Sasa CDM huko nyuma mwelekeo wao ulikuwa kupambana na ufisadi na rushwa na uchafu ambao ulikuwa Serikalini, na hii imemfanya mkuu wa kaya alipoingia madarakani akayafanyia kazi kwa kiwango japo bado hajafika 60% sasa unataka CDM waendelee na vitu ambavyo wamevipata?NO, Sasa hivi wamekuja kivingine.
 
Back
Top Bottom