CHADEMA waanikwa!

CHADEMA waanikwa!

KBOSCO

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2014
Posts
376
Reaction score
83
Soma contents ktk picha hizo.
 

Attachments

  • 1413579378614.jpg
    1413579378614.jpg
    70 KB · Views: 2,642
  • 1413579409035.jpg
    1413579409035.jpg
    54.8 KB · Views: 1,910
  • 1413579427557.jpg
    1413579427557.jpg
    51.3 KB · Views: 1,639
  • 1413579447605.jpg
    1413579447605.jpg
    61.7 KB · Views: 1,503
  • 1413579470135.jpg
    1413579470135.jpg
    66.3 KB · Views: 1,642
CCM walianza na propaganda za ukabila zikashindikana. Wakaja na mbinu za ukanda zikachuja. Wakaibuka na singo ya udini haikulipa. Wakaparamia mazingaombwe ya ugaidi yakawarudi.

Wakaibuka na kitisho cha kuingia msituni, kikagota. Sasa wamekuja na katiba ya kitapeli huku wakiwatisha mabalozi na viongozi wa dini eti wakae mbali na siasa! Na hiyo nayo imeishapwaya! Hawachoki, bado tu wanaendelea kutuburudisha na propaganda nyingine nyingi za tu kitapeli!
 
#Invisible ,jibu au toa hoja kuwa,threads hizo ni zauongo na kwa sababu zipi.

Usiwatetee wezi wa chadema.Nahapo hawajakabidhiwa Dola sasa ndo maana wanavurugana kwa tu'senti hutwo. wakipewa dola cndoitakuwa mshikemshike??

Bado upinzani unakazi na miaka mingi kuaminika kwa Watanzania.
 
Hizi ngonjera za hapo zamani za kale ilikuwa... tushazizoea leteni mambo mapya
 
#Invisible ,jibu au toa hoja kuwa,threads hizo ni zauongo na kwa sababu zipi.

Usiwatetee wezi wa chadema.Nahapo hawajakabidhiwa Dola sasa ndo maana wanavurugana kwa tu'senti hutwo. wakipewa dola cndoitakuwa mshikemshike??

Bado upinzani unakazi na miaka mingi kuaminika kwa Watanzania.

kweli jamani CHADEMA walafi sana wamekula fedha za EPA, RICHMOND, ESCROW hakika tusiwape dola kabisa
 
#ngorope ,kwa vile mshanusa kitambaa cha kiapo (cdm), hata ukweli hamuwezi kuutilia maanani.

Nawafananisha na Askari wa Hittler alokuwa akiwaamrisha kutembea gwaride la kurudi kinyumenyume wakiwa juu ya jengo ghorofa kumi. jamaa walitii,mistari saba yote ya askari ikaangukia chini paaap!! #ETI_NAO_WANATII ..Ajabu sana.
 
#ngorope ,kwa vile mshanusa kitambaa cha kiapo (cdm), hata ukweli hamuwezi kuutilia maanani.

Nawafananisha na Askari wa Hittler alokuwa akiwaamrisha kutembea gwaride la kurudi kinyumenyume wakiwa juu ya jengo ghorofa kumi. jamaa walitii,mistari saba yote ya askari ikaangukia chini paaap!! #ETI_NAO_WANATII ..Ajabu sana.

Bado ngonjera ya hapo zamani za kale inaendelea ehh mistari saba ya askari ilipoanguka chini paap! ikawaje?
 
hahaaaa! ntamalizia wakati nashangilia ushindi wa KYADEMA 2015
 

Attachments

  • 1413581368576.jpg
    1413581368576.jpg
    10 KB · Views: 3,950
Hivi wewe kichwani kwako kama hata unacho hicho kichwa, unawaza kati ya ccm na cDM ni chama kipi kinaaminika wa watanzania?

Usijiondoe akili wakati unafahamu fika kwamba hapo nyuma ccm ilitumia umaskini na ujinga wa watanzania kuwahonga na kuwahadaa ili muwaibie. Sasa hivi hata hizo hila zenu zimekwama mmeamua kujiweka dhahiri sasa kwamba mnatumia bunduki na koleo kulazimisha ujambazi wenu.

Tena utoke hapa uende ukapige mswaki. Mwehu!.


#Invisible ,jibu au toa hoja kuwa,threads hizo ni zauongo na kwa sababu zipi.

Usiwatetee wezi wa chadema.Nahapo hawajakabidhiwa Dola sasa ndo maana wanavurugana kwa tu'senti hutwo. wakipewa dola cndoitakuwa mshikemshike??

Bado upinzani unakazi na miaka mingi kuaminika kwa Watanzania.
 
attachment.php

Kinana ni Katibu Mkuu anayekubalika sana!!! Kwa kifupi yeye ni JEMBE...
 
Kaka yenu mwenyewe #Kada !! haf wachimbachumvi mnavurugwa virungu barabarani!!
 

Attachments

  • 1413581574100.jpg
    1413581574100.jpg
    15.5 KB · Views: 413
yaani hili zigo ndio umebebeshwa wewe ? Kwani wewe ni mnyamwezi ?
 
Hizo tuhuma zilizokuhamisha chadema ccm hazipo?

Au ndo kuruka small toilet kukanyaga big.toilet!
 
CHADEMA ni matapeli wanaoharibia watu future na timetable zao za maisha.....
 
Back
Top Bottom