Mafwi Munda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 1,750
- 1,599
Je, huu ndio mwanzo wa mwisho wa ccm?! Tunaona wananchi wanaichoka CCM sasa inatetewa na kila chombo cha dola na vyenye kutoa maamuzi.
Msajili wa vyama, tume ya uchaguzi, polisi na mahakama vyote vime side na ccm. Sasa makosa ya Serikali wanataka yatumike kuihukumu CHADEMA.
Wanaanza kusema CHADEMA ifutwe ili kuiondolea CCM upinzani. Wameona CCM imeshindwa kujitetea yenyewe sasa wanatumua vyeo vyao walivyopewa na mwenyekiti wa ccm kuimaliza CHADEMA.
Wote walioteuliwa na mwenyekiti wa CCM taifa wanajitoa akili kutaka kuiangamiza chadema, msajili wa vyama vya siasa, mwenyekiti tume ya uchaguzi, IGP, DED na majaji wa Mahakama wote wanaitafutia CHADEMA makosa.
Hii haitakuwa haki kwa CHADEMA kuhukumiwa na mpinzani/hasimu wake kisiasa. Wakitaka kuihukumu chadema walete chombo huru kisicho na maslahi yoyote kisiasa Tanzania.
Msajili wa vyama, tume ya uchaguzi, polisi na mahakama vyote vime side na ccm. Sasa makosa ya Serikali wanataka yatumike kuihukumu CHADEMA.
Wanaanza kusema CHADEMA ifutwe ili kuiondolea CCM upinzani. Wameona CCM imeshindwa kujitetea yenyewe sasa wanatumua vyeo vyao walivyopewa na mwenyekiti wa ccm kuimaliza CHADEMA.
Wote walioteuliwa na mwenyekiti wa CCM taifa wanajitoa akili kutaka kuiangamiza chadema, msajili wa vyama vya siasa, mwenyekiti tume ya uchaguzi, IGP, DED na majaji wa Mahakama wote wanaitafutia CHADEMA makosa.
Hii haitakuwa haki kwa CHADEMA kuhukumiwa na mpinzani/hasimu wake kisiasa. Wakitaka kuihukumu chadema walete chombo huru kisicho na maslahi yoyote kisiasa Tanzania.