Ndiyo Mimi YANGA TENA MWANACHAMA HAIWewe ni kijani sana.
Pambana na hali yakoNdiyo Mimi YANGA TENA MWANACHAMA HAI
Wewe ni nani yake?
Na manunuzi yakishindikana bunduki zinachukua nafasi.Mmekuja na será mpya ya Kununua
Ova
Mkuu inaonekana roho inakuuma sana polena rangi ya kijani kumbuka ni sumu ukichanganya na gamba jeusi basi ni nyoka huyo
Naona unaanza kukubaliana na hali halisi!
Ata kuwa mwanachama pia ni sehemu ya kupambana na Hali yangu sijui wewe ??Pambana na hali yako
Lazima ukimbie town, CCM haina rafiki wa kudumu.Ata kuwa mwanachama pia ni sehemu ya kupambana na Hali yangu sijui wewe ??
Hata Mimi sina rafiki wa kudumu tofauti na maslai ya kudumuLazima ukimbie town, CCM haina rafiki wa kudumu.
Mwaka huu lazima utanyooka mangi.Hata Mimi sina rafiki wa kudumu tofauti na maslai ya kudumu
Anayenunua ni Boss anayenunuliwa ni mtumwa so. Wapinzani ni watumwa wa CCM na inatupa picha kwamba Wapinzani hawana mfumo mzuri wa uongozi. Yaani mpaka unanunuliwa. Siasa ni Ideology.
Haya buana..sasa huyo mfuga watumwa au mnunua watumwa KIMAADILI ni mtu mbaya zaidi.
..Mtumwa inawezekana kuwa uonyonge na umasikini wake umesababisha akubali kuwa Mtumwa.
..Sasa huyo bwana amesukumwa na nini mpaka kuwashika wenzake utumwa? Bila shaka atakuwa ni mtu aliyekosa UTU na asiyethamini HESHIMA YA MWANAADAMU.
..kama siasa ni ideology basi watu hawapaswi kununuliwa ili kufuata ideology husika.
..Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere hawaku akishawishi watu kwa fedha ili kujiunga na chama au kumuunga mkono.
Wewe ni mwandishi wa habari wa kujitegemea au mwandishi wa habari na mwanapropaganda wa Chadema.?Mwandishi wa Habari wa Kujitegemea Mwenye Haki zote zakutoa Taarifa Unajingine?