CHADEMA imekanusha tetesi zinazosambazwa kuwa Mbunge wa Kibamba, John Mnyika amejivua uanachama wa chama hicho.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kimesema wanaozisambaza taarifa hizo ni wale walioishiwa hoja na majibu juu ya hali ya maisha ya Watanzania.
View attachment 643649
Uko kama mimiBinafsi nishawachoka Wanasiasa wa Bongo, walio Wengi ni Wasaka tonge tu, hawana lolote.
Kuna Taarifa kutoka ya Moja ya Mtandao umeripori kuwa John Mnyika (MB) Amejivua Uwanachama wa Chadema Taarifa hizo si za kweli na John Mnyika anaendelea na Majukumu yake ya Kichama na Kibunge kama Kawaida
View attachment 643122
Yakipita masaa 48 bila ya yeye mwenyewe kutoa taarifa hata ktk ac yake mojawapo ya mitandao ya kijamii ujue ameshaenda au yupo njia panda. Usimwamini mwanasiasa yoyote unless amekufa na umetizama sura yake ya mwisho. Mnyika ni mwanasiasa mahiri.Toja lowasa ahamie cdm mnyika alinyamaza, kaja kuanza kuongea juzi hapa
Kwa hiyo naye simple tu siyoSiku wakimpata huyu mesi wetu,watavunja kibobo cha bank kuu,na ccm itafilisika rasmi
Nimejaribu kufuatilia maandiko yako lakini nashindwa kuamini Kama kweli ni Mwanahabari Huru, naona kama mchumia tumbo wa upande wa ufipa, kwa kuwa sijaona kwa muda wowote wa miaka miwili niliyofuatilia maoni na michango yako Mbalimbali ya jamii forum ukichangia hata jema lililofanywa na Serikali hii, sasa sijui kama kweli hakuna jema hata moja ambalo Serikali ya awamu ya tano imefanya. Napata ukakasi na uanahabari wako huu, sema unafanya kazi za watu ili watoto au mwenyewe uende chooni tu.Dhambi ya watu wasiojulikana itatesa sana watu
Kabisa mkuu km wanavyihangaika kukanusha habari ya ufa wa ghorofa la mukulu wa nchitoNaona mko bize kukanusha mambo, UPEPO HAUPAKWI RANGI, acha uvume!
HIVI OLE MILLYA BADO YUKO CHADEMA MAANA SIJAMSIKIA SIKU NYINGIKuna Taarifa kutoka ya Moja ya Mtandao umeripori kuwa John Mnyika (MB) Amejivua Uwanachama wa Chadema Taarifa hizo si za kweli na John Mnyika anaendelea na Majukumu yake ya Kichama na Kibunge kama Kawaida
View attachment 643122
Huyo jamaa ni miongoni mwa wanaofanya waandishii wa habari waonekane VILAZA.Nimejaribu kufuatilia maandiko yako lakini nashindwa kuamini Kama kweli ni Mwanahabari Huru, naona kama mchumia tumbo wa upande wa ufipa, kwa kuwa sijaona kwa muda wowote wa miaka miwili niliyofuatilia maoni na michango yako Mbalimbali ya jamii forum ukichangia hata jema lililofanywa na Serikali hii, sasa sijui kama kweli hakuna jema hata moja ambalo Serikali ya awamu ya tano imefanya. Napata ukakasi na uanahabari wako huu, sema unafanya kazi za watu ili watoto au mwenyewe uende chooni tu.
huyu anaitwa Steven Mmbogo, alikuwa muhasibu wa chadema makao makuu. Mke wake ni mbunge viti maalum chadema, hivyo analea kibarua cha mama maana ndio anapunguza makali ya njaa nyumbani kupitia ubunge wa viti maalum. Hivyo asikusumbue sana.Nimejaribu kufuatilia maandiko yako lakini nashindwa kuamini Kama kweli ni Mwanahabari Huru, naona kama mchumia tumbo wa upande wa ufipa, kwa kuwa sijaona kwa muda wowote wa miaka miwili niliyofuatilia maoni na michango yako Mbalimbali ya jamii forum ukichangia hata jema lililofanywa na Serikali hii, sasa sijui kama kweli hakuna jema hata moja ambalo Serikali ya awamu ya tano imefanya. Napata ukakasi na uanahabari wako huu, sema unafanya kazi za watu ili watoto au mwenyewe uende chooni tu.
Lisemwalo lipo kama halipo lajaKuna Taarifa kutoka ya Moja ya Mtandao umeripori kuwa John Mnyika (MB) Amejivua Uwanachama wa Chadema Taarifa hizo si za kweli na John Mnyika anaendelea na Majukumu yake ya Kichama na Kibunge kama Kawaida
View attachment 643122
Ni taasisi gani inamilikiwa na mtu mmoja.Siyo mnyika tu chadema ni Academ Kama ya ajax amsterdam ambayo hua inalea watoto na kuwauzia club kubwa za ulaya ,chukueni mnyika na wengine mnaowataka lkn kaeni mkijua cdm ni taasis kubwa na hazina ya vijana wanaotumia akili kubwa sio matumbo kama uvccm