CHADEMA: Usahihi Wa Taarifa Kuhusu John Mnyika

CHADEMA: Usahihi Wa Taarifa Kuhusu John Mnyika

Siku wakimpata huyu mesi wetu,watavunja kibobo cha bank kuu,na ccm itafilisika rasmi
Mku huku kwetu hata umlete nani jibu ni bado Watanzani wanatudai na elimu ya uraia imeshamwingia mwananchi jibu ni bei na mwisho wa bei ni nini tena kipya. Mdaiwa ni Shari kulipa deni na deni lenyewe watanzania wanataka maisha ya Botswana Je tunaweza kuwapatia hayo maisha kama ni hapana basi hata bei haina maana. Lakini tuko ktk gari moja
 
hii nunua nunua, naona CCM imeamua kuuhamisha upinzani kutoka nje kwa kuuingiza ndani. hatari kubwa kwa chama changu pendwa
 
Ndio Sera ya CCM iliyobaki...

Watu wapo gizani umeme hakuna...

Wagonjwa wanajazana kwenye Meli ya kichina...

Wao wanaona sawa tu..

Wameshapoteza Dira...

Wajuzi wa mambo wameshaliona hilo..

Kwa taarifa yenu Chadema pamoja na upinzani wote kwa ujumla wako vizuri sana kimkakati kuliko wakati mwingine wowote ule...
Hilo halina mbishi ndo maana bei lakini wananchi wameshalishwa itikadi na watoa elimu ya uraia ambao zamani waitwa Vyama vya msimu hakuna chama cha msimu tena pamoja na kuwafunga mikono ndo Itikadi imezidi kumwingia mlengwa na usicheze na neno Itikadi wenyewe wanalijua hii imani ilivyo.
 
Mnyika Na fasidi. Anateseka sana Na jambo hilo. MTU anapewa ukatibu wakati ajui chama
 
Jamaa wa kijani wanataka kuwanunua wabunge wa upinzani ili wayatwae majimbo ktk
Uchaguzi ukatao rudiwa....
Jamaa wa kijani wamejipanga vyema Kwa chaguzi zote....

Ova
 
Mbona kitambo tu huyu jamaa ni timu Magu mdomo wake umewekewa maji taka ya siasa chafu za ufipa[emoji83][emoji83]
 
Back
Top Bottom