CHADEMA: Usahihi Wa Taarifa Kuhusu John Mnyika

CHADEMA: Usahihi Wa Taarifa Kuhusu John Mnyika

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
14,242
Reaction score
34,917
Kuna Taarifa kutoka ya Moja ya Mtandao umeripori kuwa John Mnyika (MB) Amejivua Uwanachama wa Chadema Taarifa hizo si za kweli na John Mnyika anaendelea na Majukumu yake ya Kichama na Kibunge kama Kawaida
taarifa chadema.jpg
 
lumumba wanawashwa sn....kwa hisani ya mwenyekiti wao
 
Hahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Siku nikisia Tundu Lissu kahamia CCM ndio nitaamini kuwa kweli jamaa anapiga kazi iliyo TUKUKA
Dhambi ya watu wasiojulikana itatesa sana watu
 
Siyo mnyika tu chadema ni Academ Kama ya ajax amsterdam ambayo hua inalea watoto na kuwauzia club kubwa za ulaya ,chukueni mnyika na wengine mnaowataka lkn kaeni mkijua cdm ni taasis kubwa na hazina ya vijana wanaotumia akili kubwa sio matumbo kama uvccm
 
Back
Top Bottom