ina maana alikua anaongea mwenyewe?
Ndio watu wataelewa Nguvu ya Dr. Slaa. Hii ni rasha rasha tu.ina maana alikua anaongea mwenyewe?
Bado sana. Hii ni rasha rasha tu, subiri MASIKAKitengo cha propaganda nadhani kipo field training! Tumekusikia....ila usisahau mabadiliko yanaanza na mtu mmoja ambaye ndo huyo kwenye picha
Ndio watu wataelewa Nguvu ya Dr. Slaa. Hii ni rasha rasha tu.
Ukawa sasa unawaita ghetto, very sad to knowHuu upigaji wa picha umejifunzia studio za gheto, yaani unampiga muongeaji tu bila kuonyesha anaongea na nani!? Kwa picha hii unataka kutuambia anaongea mwenyewe?
God has nothing to here and stop panicking. Get ready, October 25 is the day of Judgment to FisadiRubbish, kwani Slaa ni MUNGU? Ni binadamu tu anayekufa na kuoza, hatutishi huyo. Mwache aende zake.
[h=3][/h]![]()
Kampeni za ubunge na urais (Chadema) zikiendelea wilayani Ukerewe. Hali si nzuri kwa Ukawa baada ya Dr. Slaa kumlipua Lowassa.
Watu sasa wanamsubiri Dr. Magufuli aje kumaliza kazi.