Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,390
- 31,338
- Thread starter
- #361
Sehemu ya I
UKAWA
MAAFA YA KISIASA VIWANJA VYA JANGWANI
Tunaposema maafa ya kisiasa tunamaanisha tukio la jana la ufunguzi wa kampeni za UKAWA katika viwanja vya Jangwani.
Tukio lililowashtua wengi waliokuwa na matumaini makubwa kuliko fikra zao zilipoweza kufikia(overwhelmed and excited)
Kwa wengine tumeonya siku nyingi kuhusu UKAWA na hatua walizochukua.
Tulienda mabali na kuuliza katika uzi huu na mwingine maswali haya
1 UKAWA wamefanya analysis ya kutosha kabla ya kuchukuahatua walizochukua
2 Kwa hali ya kisiasa, kulikuwa na ulazima wa kuchukua hatuawalizochukua?
3 Hatua walizochukua zitaweza kulinda brand yao na politicalbase yao?
4 Wanaokea ugeni huo (receive) au wana accommodate(kuhifadhi ili ulingane namatakwa na haja ya walipofikia?)
5 Watawezaje ku merge timu mbili wakiwa safarini kwendakwenye mapamabano?
6 Wamejiandaeje kukubaliana na changamoto zingine zinazokujana ugeni walioupokea?
7 Wana political strategists wa kutosha na wanaojuawanafanya nini na kwa wakati gani na kwanini?
Hayo ni baadhi ya mambo tuliyoongelea kwa kina sana siku zanyuma.
Hakika kilichotokea jangwani si kigeni kwetu sisi wengine. Ilikuwa nijambo lililotarajiwa kabisa
Leo kinachofanyika ni post mortem baada ya maafa ya jwangwani.
Tunajua na tuliona nini kimepelekea matatizo yaliyotokea.
Tunachotaka kuwaambia akina Mbowe na Mbatia ni kuhusu siasa za majivuno zisizozingatia ushauri
Mbowe hasa ndiye anapaswa kubebeshwa mzigo uliopo na pengine unaokuja
Mbowe leo lazima aka echini na kufikiri kama kweli anakopelekaUKAWA ni njia sahihi.
Kama ndio kanywaga twende aliyosema lipo tatizo mbeleni
Maafa yaliyokea jwangwani yana sehemu kuu mbili
Timu ya UKAWA iliyopeteza Brand na kuwakabidhi wageni
Timu ya Lowassa iliyokuja bila kuwa na mkakati wa ku-mergena timu ya UKAWA
Haya ndiyo chanzo cha mivutano ndani ya UKAWA.
Jangwani si tukio moja, ni mwendelezo wa matukio ya namna hiyo na jana ilikuwa climax.
Kumekuwepo na kuficha ficha udhaifu wa UKAWA kwasababu zisizo na msingi.
Jana imedhihirisha lipo tatizo kubwa.
Inaendelea sehemu ya II
UKAWA
MAAFA YA KISIASA VIWANJA VYA JANGWANI
Tunaposema maafa ya kisiasa tunamaanisha tukio la jana la ufunguzi wa kampeni za UKAWA katika viwanja vya Jangwani.
Tukio lililowashtua wengi waliokuwa na matumaini makubwa kuliko fikra zao zilipoweza kufikia(overwhelmed and excited)
Kwa wengine tumeonya siku nyingi kuhusu UKAWA na hatua walizochukua.
Tulienda mabali na kuuliza katika uzi huu na mwingine maswali haya
1 UKAWA wamefanya analysis ya kutosha kabla ya kuchukuahatua walizochukua
2 Kwa hali ya kisiasa, kulikuwa na ulazima wa kuchukua hatuawalizochukua?
3 Hatua walizochukua zitaweza kulinda brand yao na politicalbase yao?
4 Wanaokea ugeni huo (receive) au wana accommodate(kuhifadhi ili ulingane namatakwa na haja ya walipofikia?)
5 Watawezaje ku merge timu mbili wakiwa safarini kwendakwenye mapamabano?
6 Wamejiandaeje kukubaliana na changamoto zingine zinazokujana ugeni walioupokea?
7 Wana political strategists wa kutosha na wanaojuawanafanya nini na kwa wakati gani na kwanini?
Hayo ni baadhi ya mambo tuliyoongelea kwa kina sana siku zanyuma.
Hakika kilichotokea jangwani si kigeni kwetu sisi wengine. Ilikuwa nijambo lililotarajiwa kabisa
Leo kinachofanyika ni post mortem baada ya maafa ya jwangwani.
Tunajua na tuliona nini kimepelekea matatizo yaliyotokea.
Tunachotaka kuwaambia akina Mbowe na Mbatia ni kuhusu siasa za majivuno zisizozingatia ushauri
Mbowe hasa ndiye anapaswa kubebeshwa mzigo uliopo na pengine unaokuja
Mbowe leo lazima aka echini na kufikiri kama kweli anakopelekaUKAWA ni njia sahihi.
Kama ndio kanywaga twende aliyosema lipo tatizo mbeleni
Maafa yaliyokea jwangwani yana sehemu kuu mbili
Timu ya UKAWA iliyopeteza Brand na kuwakabidhi wageni
Timu ya Lowassa iliyokuja bila kuwa na mkakati wa ku-mergena timu ya UKAWA
Haya ndiyo chanzo cha mivutano ndani ya UKAWA.
Jangwani si tukio moja, ni mwendelezo wa matukio ya namna hiyo na jana ilikuwa climax.
Kumekuwepo na kuficha ficha udhaifu wa UKAWA kwasababu zisizo na msingi.
Jana imedhihirisha lipo tatizo kubwa.
Inaendelea sehemu ya II