KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,149
kumekuwa na upotoshaji au propaganda kwamba chadema hakipikiki chungu kimoja na waislam walio wengi(sio wote),je suala hili ukweli wake ukoje?na je ni wapi hasa kama papo wanapotofautiana na kushindwa kuaminiana?je tatizo kama lipo kweli lipo upande gani,kwa waislam ama kwa jinsi chadema yenyewe ilivyojiweka na kuikalia kimya propaganda hii hatari.
ushauri wangu kama tatizo lipo kwa waislam kutokana na kulishwa tu propaganda basi tuwasaidie na kama tatizo lipo upande wa pili kwa maana ya chadema basi muda upo ijirekebishe na kuondoa sintofahamu hii kwa maslahi yake binafsi kama chama cha siasa chenye hamu ya kushika dola siku moja kwa kuwa ni ukweli ulio wazi bila kura za watanzania wote ambao kwa asilimia kubwa ni waislam na wakristo kwa umoja wao hakuna uwezekano wala njia ya mkato ya kushinda uchaguzi wa rais na kuunda serikali.
Nawasilisha.
Viongozi wa dini ya kiislamu mkoa wa Kilimanjaro.
mbunge wa jimbo la Moshi mjini Philemoni Ndesamburo akiteta jambo na viongozi wa dini ya kiislamu,huu ni mfano wa kuigwa
safi sana hii
Hii ni namna bora zaidi ya kujenga mahusiano na kuaminiana,iendelezwe na viongozi wa chadema mikoani na wilayani,kamwe chadema isidhani hii propaganda itaondoka yenyewe tu hapana they have to do something kujionyesha hawako upande wa kanisa na hawawachukii waislam kama waislam wengi wanavyoaminishwa na pia wana chadema mmoja mmoja pia mkisaidie chama kwa kuwa polite kwa waislam na wala msiwakejeli kwa namna yeyote ile bali muwasaidie kukielewa chama chenu,muwe mabalozi wazuri wa chama chenu,waislam watawaelewa na kuwakubali tu
ushauri wangu kama tatizo lipo kwa waislam kutokana na kulishwa tu propaganda basi tuwasaidie na kama tatizo lipo upande wa pili kwa maana ya chadema basi muda upo ijirekebishe na kuondoa sintofahamu hii kwa maslahi yake binafsi kama chama cha siasa chenye hamu ya kushika dola siku moja kwa kuwa ni ukweli ulio wazi bila kura za watanzania wote ambao kwa asilimia kubwa ni waislam na wakristo kwa umoja wao hakuna uwezekano wala njia ya mkato ya kushinda uchaguzi wa rais na kuunda serikali.
Nawasilisha.
Viongozi wa dini ya kiislamu mkoa wa Kilimanjaro.
mbunge wa jimbo la Moshi mjini Philemoni Ndesamburo akiteta jambo na viongozi wa dini ya kiislamu,huu ni mfano wa kuigwa
safi sana hii
Hii ni namna bora zaidi ya kujenga mahusiano na kuaminiana,iendelezwe na viongozi wa chadema mikoani na wilayani,kamwe chadema isidhani hii propaganda itaondoka yenyewe tu hapana they have to do something kujionyesha hawako upande wa kanisa na hawawachukii waislam kama waislam wengi wanavyoaminishwa na pia wana chadema mmoja mmoja pia mkisaidie chama kwa kuwa polite kwa waislam na wala msiwakejeli kwa namna yeyote ile bali muwasaidie kukielewa chama chenu,muwe mabalozi wazuri wa chama chenu,waislam watawaelewa na kuwakubali tu