mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Kwa wale waliobahatika kununua gazeti la Tanzania daima la leo Jpili tar
19 dec-2010. Kama ni mfuatiliaji wa mambo ya siasa hasa za chama cha Chadema,
ukifungua ukurasa wa 12 [jahazi la Jpili] ndani ya gazeti hilo utakutana na kichwa cha
habari -CHADEMA,UFALME WA MBINGUNI NA IBILISI. Mwandishi wa makala hiyo ni Prude
nce karugendo. Nilipenda niiandike hapa kwa faida ya wale waliokosa kuisoma makala hiyo
lakini ni ndefu sana! Lakini kwa wale walioisoma na kuielewa makala hiyo kwa faida ya
Chadema maoni yao ni nini? mwandishi yuko sahihi kwa faida ya chama chetu au amekosea?
Nawasilisha
19 dec-2010. Kama ni mfuatiliaji wa mambo ya siasa hasa za chama cha Chadema,
ukifungua ukurasa wa 12 [jahazi la Jpili] ndani ya gazeti hilo utakutana na kichwa cha
habari -CHADEMA,UFALME WA MBINGUNI NA IBILISI. Mwandishi wa makala hiyo ni Prude
nce karugendo. Nilipenda niiandike hapa kwa faida ya wale waliokosa kuisoma makala hiyo
lakini ni ndefu sana! Lakini kwa wale walioisoma na kuielewa makala hiyo kwa faida ya
Chadema maoni yao ni nini? mwandishi yuko sahihi kwa faida ya chama chetu au amekosea?
Nawasilisha