Kimilidzo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 1,346
- 613
Wakati huo huo, zaidi ya wanachama 50 wa CCM, akiwemo aliyekuwa kada wa chama hicho wa kikosi cha Green Guard, Ayub Mlwilo, mkazi wa Rujewa na wakazi wengine 138 wamejiunga na Chadema.
Mavuno hayo ya Chadema yalitokana na mkutano mkubwa walioufanya juzi katika maeneo tofauti wilayani Mbarali, ambapo pamoja na mambo mengine, kukusanya changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa maeneo hayo.
Katika hatua nyingine, Mbunge wa Mbarali CCM, Dickson Kilufi, ameshauriwa kukihama chama chake na kujiunga na Chadema ambacho kinatetea wananchi.
Ushauri huo ulitolewa na Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Mbeya Mjini, John Mwambigija, wakati akiwahutubia wananchi wa Rujewa katika wilaya ya Mbarali katika operesheni ya Chadema Twanga Kotekote. Alisema anamshauri Kilufi kuachana na CCM na kujiunga na chama hicho.
Hii operation wanayoifanya CDM imenifurahisha sana. Inaonekana haja jamaa wanataka magamba wasipumue kabisa...
Mavuno hayo ya Chadema yalitokana na mkutano mkubwa walioufanya juzi katika maeneo tofauti wilayani Mbarali, ambapo pamoja na mambo mengine, kukusanya changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa maeneo hayo.
Katika hatua nyingine, Mbunge wa Mbarali CCM, Dickson Kilufi, ameshauriwa kukihama chama chake na kujiunga na Chadema ambacho kinatetea wananchi.
Ushauri huo ulitolewa na Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Mbeya Mjini, John Mwambigija, wakati akiwahutubia wananchi wa Rujewa katika wilaya ya Mbarali katika operesheni ya Chadema Twanga Kotekote. Alisema anamshauri Kilufi kuachana na CCM na kujiunga na chama hicho.
Hii operation wanayoifanya CDM imenifurahisha sana. Inaonekana haja jamaa wanataka magamba wasipumue kabisa...