CHADEMA twanga kotekote

Kimilidzo

JF-Expert Member
Jan 3, 2011
1,346
613
Wakati huo huo, zaidi ya wanachama 50 wa CCM, akiwemo aliyekuwa kada wa chama hicho wa kikosi cha Green Guard, Ayub Mlwilo, mkazi wa Rujewa na wakazi wengine 138 wamejiunga na Chadema.
Mavuno hayo ya Chadema yalitokana na mkutano mkubwa walioufanya juzi katika maeneo tofauti wilayani Mbarali, ambapo pamoja na mambo mengine, kukusanya changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa maeneo hayo.


Katika hatua nyingine, Mbunge wa Mbarali CCM, Dickson Kilufi, ameshauriwa kukihama chama chake na kujiunga na Chadema ambacho kinatetea wananchi.
Ushauri huo ulitolewa na Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Mbeya Mjini, John Mwambigija, wakati akiwahutubia wananchi wa Rujewa katika wilaya ya Mbarali katika operesheni ya Chadema Twanga Kotekote. Alisema anamshauri Kilufi kuachana na CCM na kujiunga na chama hicho.




Hii operation wanayoifanya CDM imenifurahisha sana. Inaonekana haja jamaa wanataka magamba wasipumue kabisa...
 
Wakati huo huo, zaidi ya wanachama 50 wa CCM, akiwemo aliyekuwa kada wa chama hicho wa kikosi cha Green Guard, Ayub Mlwilo, mkazi wa Rujewa na wakazi wengine 138 wamejiunga na Chadema.
Mavuno hayo ya Chadema yalitokana na mkutano mkubwa walioufanya juzi katika maeneo tofauti wilayani Mbarali, ambapo pamoja na mambo mengine, kukusanya changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa maeneo hayo.


Katika hatua nyingine, Mbunge wa Mbarali CCM, Dickson Kilufi, ameshauriwa kukihama chama chake na kujiunga na Chadema ambacho kinatetea wananchi.
Ushauri huo ulitolewa na Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Mbeya Mjini, John Mwambigija, wakati akiwahutubia wananchi wa Rujewa katika wilaya ya Mbarali katika operesheni ya Chadema Twanga Kotekote. Alisema anamshauri Kilufi kuachana na CCM na kujiunga na chama hicho.




Hii operation wanayoifanya CDM imenifurahisha sana. Inaonekana haja jamaa wanataka magamba wasipumue kabisa...

Nape nae alikuwa Mwanza, sijui mambo ni aje huko.
 
Mambo ilikuwa ni kutukana tu. Mara tutashikishana ukuta, mara atapigwa mtu, oooh nchi ni yetu wote lakini mwisho wa mkutano hakuna jibu hata moja kwa matatizo ya watanzania. Ndio maana jamaa wameamua kutwanga kotekoteeeeee

Kushishana ukuta maana yake nini?
 
Yaani Chadema wanakuja na style ya Mchicha mwiba ? Mambo ya kule Unguja haya .
 
Hii safi sana naomba waendelee, huyo mbunge aliyeshauriwa amereply vipi? Tujuzane wakuu
 
Wakati huo huo, zaidi ya wanachama 50 wa CCM, akiwemo aliyekuwa kada wa chama hicho wa kikosi cha Green Guard, Ayub Mlwilo, mkazi wa Rujewa na wakazi wengine 138 wamejiunga na Chadema.
Mavuno hayo ya Chadema yalitokana na mkutano mkubwa walioufanya juzi katika maeneo tofauti wilayani Mbarali, ambapo pamoja na mambo mengine, kukusanya changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa maeneo hayo.


Katika hatua nyingine, Mbunge wa Mbarali CCM, Dickson Kilufi, ameshauriwa kukihama chama chake na kujiunga na Chadema ambacho kinatetea wananchi.
Ushauri huo ulitolewa na Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Mbeya Mjini, John Mwambigija, wakati akiwahutubia wananchi wa Rujewa katika wilaya ya Mbarali katika operesheni ya Chadema Twanga Kotekote. Alisema anamshauri Kilufi kuachana na CCM na kujiunga na chama hicho.




Hii operation wanayoifanya CDM imenifurahisha sana. Inaonekana haja jamaa wanataka magamba wasipumue kabisa...

hii signature yako imenifurahisha sana!
URAIS 2015: DR SLAA VS LOWASSA, yeyote atakayeshinda NAPE utaficha wapi sura yako ya kinafiki?
 
Back
Top Bottom