CHADEMA: Tunalinda kura kwa helcopter

Misafara inayoonekana kitaa cha USA ni kina Mama na Wazee cjui vijana watukauja baadae sana kupiga kura na kulinda kama walivyoagizwa but now Wamama wa Meru wapo kwenye folen ya kumsulubu Mtu ambao wengi wao humu JF hawataamini.
Akima Mama mwaka huu ni mtaji mkubwa sana wa CDM kwa vile wamegundua kupewa Kanga, Tshirt na kofia pekee za kijani na njano bila kuwapa chu.pi haiwasaidii kuwasitiri wanabaki exposed kwa Mwigulu Nchemba. Wanaona bora wamchague mbunge atakayewafundisha kujitegemea wanunue Ch.upi zao, kanga zao, tshirt zao na kofia zao wenyewe.
 
All in all, The Arumeru Citizen should make change. How come you get cheated that CCM will change your life standard while they had a 50 years of doing that? open ya eyes and make changes. VOTE for opposition parties and not the rulling one. Kila la kheri, Endeleeni kutujuza. Pia, Tulinde kura zetu
 
senior Member,mimi ni mpiga kura na nimemaliza kupiga kura muda wa lisaa lililopita asilimia 95 ya wapiga kura wote walikuwa vijana katika kituo cha chama kijiji cha nguruma kata ya pori, kiasi kwamba mpaka mama mmoja kasema mbona watuambia kuwa wazee ndo wamejiandikisha sasa leo hawa vijana wametoka wapi?kwahiyo vijana wamejitokeza kwa wingi sana. pia kituo cha patandi vijana wapo kwa wingi wasichana pia wapo na WAnakiunga mkono chama chetu cha CHADEMA.
 
uzi uwe huo huo makamanda wa anga wa ardhini na kadhalika no turning back na ilo swala la arumeru liwe kama vile ni mwanzo 2 ........
 
All in all, The Arumeru Citizen should make change. How come you get cheated that CCM will change your life standard while they had a 50 years of doing that? open ya eyes and make changes. VOTE for opposition parties and not the rulling one. Kila la kheri, Endeleeni kutujuza. Pia, Tulinde kura zetu

Kwanza English yenyewe hujui, unabwekabweka tu hapa na Chadema yenu. Leo mtapata majibu yenu. Watu wazima hovyooooo
 
Rejao mbwa koko ni yule anayeona adui au mwizi lakini ana bweka huku mkia kauficha, sasa hebu niambie kati ya cdm na ccm nani mbwa koko - ona hii:

Serikali ya ccm inasema mafisadi ni hatari wakikamatwa nchi itayumba! Hapo mkia upo juu au? Viongozi wa cdm walidiriki kusimama hadharani na kutaja list ya vigogo wezi na mafisadi bila kumung'unya maneno mchana kweupe japo hawana serikali, vipi hapo mkia upo chini au juu? Mbwa koko nchi hii bwana Rejao wanafahamika ndio maana dhahabu, tanzanite, almasi, nk vinaporwa mchana kweupe. Samahani najua inauma kuyajua haya ila umeyataka mwenyewe.
Hata uyoga ulianza kama mchicha:wink2:Itafahamika leo.......
 
Ccm ccm ccm aaaah aaahh chama cha mapinduzi cccm namba waniiiiii mtameza mtatema uchungu wa kushindwa leo!
 
Helow broda, naskia timu ya ccm imekimbia Arumeru amebakia baba mkwe tu, kwa kuwa uko kwenye payroll ya Nape hebu tujuze. Kuanzia kesho si utarudi kwenye majukwaa yako ya MMU na ChitChat kujifariji na kipigo...
Mawazo mgando haya..
Mbwa ni mbwa tu! Acha hizo gamba weeee!
mbwa koko wanaoweza kutambua mwizi na kumfukuza hao ni wajanja. Sema tena...
Rejao mbwa koko ni yule anayeona adui au mwizi lakini ana bweka huku mkia kauficha, sasa hebu niambie kati ya cdm na ccm nani mbwa koko - ona hii:

Serikali ya ccm inasema mafisadi ni hatari wakikamatwa nchi itayumba! Hapo mkia upo juu au? Viongozi wa cdm walidiriki kusimama hadharani na kutaja list ya vigogo wezi na mafisadi bila kumung'unya maneno mchana kweupe japo hawana serikali, vipi hapo mkia upo chini au juu? Mbwa koko nchi hii bwana Rejao wanafahamika ndio maana dhahabu, tanzanite, almasi, nk vinaporwa mchana kweupe. Samahani najua inauma kuyajua haya ila umeyataka mwenyewe.
Kwahiyo mnaona kwenda kwenye vituo vya kupigia kura na mbwa ni sawa?
Mkuu Rejao,
Naskia jana mlipoenda kufunga mkutano KING'ORI, Profesa Maji Marefu alikuchanja chale matakoni.
Lusinde aliwaweza sana.....CDM wote mmenyweaaaa!!!
 
Back
Top Bottom