B.G TANTAWI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 495
- 375
Akiwa na furaha mara baada ya kuonana naye, Mh. Vicent Nyerere Mbunge wa Musoma mjini mkoani Mara alinidokezea kuwa kwa sasa chadema wanajiandaa kuwatumikia watanzania wote mwaka 2015. " Tunajiandaa na unaona kazi tunazofanya pande zote za Nchi yetu.
Nilimuuliza swali la uchokozi " Mh. Sita alisema kuwa hamna safu ya kutosha kuongoza Nchi wewe unasemaje" Mh. Nyerere akanijibu kuwa "kwanza sisi hatutawaongoza watanzania kwani wao ni vipofu? sisi tutawatumikia watanzania wote, kuhusu safu alijibu kuwa " Rais kikwete mbona hakuona safu ya wana- CCM bungeni wakati alipounda Baraza lake la mawaziri hadi akamchomoa Prof. Sospeter Muhongo pale UDSM!!?
Nilimuuliza swali la uchokozi " Mh. Sita alisema kuwa hamna safu ya kutosha kuongoza Nchi wewe unasemaje" Mh. Nyerere akanijibu kuwa "kwanza sisi hatutawaongoza watanzania kwani wao ni vipofu? sisi tutawatumikia watanzania wote, kuhusu safu alijibu kuwa " Rais kikwete mbona hakuona safu ya wana- CCM bungeni wakati alipounda Baraza lake la mawaziri hadi akamchomoa Prof. Sospeter Muhongo pale UDSM!!?