WILLIAM MARCONI
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 2,070
- 827
Nani aitishe kikao? Maana wote wana misgivings zao, Chama si Chama, ni mali ya mtu MboweChadema inabidi waitishe mkutano wa dhalura wadiscuss hili suala...hao wabunge wawepo ili watoe kero zao kama kweli zipo