CHADEMA tumechanganyikiwa, hatujui tumesimama wapi!!

CHADEMA tumechanganyikiwa, hatujui tumesimama wapi!!

WATAKAPOANZA KUSHINDA KESI MSIKIMBILIE KUWAHUKUMU MAHAKIMU KWAMBA WAMEKULA RUSHWA YETU MACHO KESI NYINGI ZINACHEZEWA TOKA MWANZO KWA KUKURUPUKA HATUA ZA WATUHUMIWA HAZIFUATWI MAGUFULI ALIGAWA SAMAKI NA KUITEKELEZA MELI YA WACHINA WAJUA KILICHOMKUTA? MWANZO MZUR WA KESI HUWA NA MWISHO MZURI UKIKURUPUKA KTK SHERIA JUA UTASHINDWA TU.
 
Habari wakuu

Kama mnavyojua hoja iliyotupa umaarufu sana sisi CHADEMA ni kupinga ufisadi, na tuliishika kwelikweli mpaka kuandaa list ya aibu ya mafisadi (akiwemo kipenzi chetu lowasa).

Awamu iliyopita CHADEMA haikupenda kabisa kitu kinaitwa " tume za uchunguzi", tulizipinga waziwazi bungeni kwa hoja kwamba zinalenga kusafisha mafisadi, na zinatumia pesa za umma bure huku report zake zikitupiliwa mbali. Tukafikia kumpa jina la "dhaifu" mh Kikwete kwa kuwa muoga "KUCHUKUA MAAMUZI" ya kuwatimua mafisadi.

Kwa kweli tulichokipinga ni, moja, mafisadi kuundiwa tume za uchunguzi, pili, udhaifu wa rais kutochukua maamuzi kwa haraka dhidi ya mafisadi

CHAKUSHANGAZA SASA

  1. Leo CHADEMA wanalia bungeni eti watu wanafukuzwa bila uchunguzi, eti rais na watendaji wake wanachukua maamuzi ya haraka sana,
  2. Leo chadema wanataka eti kufukuzwa kwa mafisadi kufuate mchakato, na tume za uchunguzi
  3. Leo CHADEMA wanatetea wabadhilifu wanaofukuzwa na serikali eti wanaonewa
Lakini wakati viongozi wa kisiasa wakitetea na kunung'unika kuhusu mafisadi kufukuzwa, watendaji wa chama wanafanya hayohayo. Mfano Meya wa Kinondoni kawatimua wafanyakazi kwa style ile ile

Kwa ufupi, TOKA LOWASSA NA SUMAYE wahamie CHADEMA kilichobaki vilevile ni BENDERA TU, MENGINE YOTE WAMEYABADILISHA, na hakuna wa kuzuia, sera imebadilika, salamu imebadilika (Lowassa mabadiliko), ofisi zimehamishwa kinyemera, hata MSIMAMO WA CHAMA HAUJULIKANI.

Hapa ufipa hatujielewi, KATIBU MKUU mwenyewe kashindwa kuanza kazi ya kuhamasisha sababu hajapewa SERA NA MSIMAMO wa sasa wa chama.

KIFUPI TUMECHANGANYIKIWA!!!!!!!!!

asante ole sendeka kakuwalipa vizuri vijana wako tumekumic huku simanjiro
 
Wewe mama ndo umechanganyikiwa,
Haiwezekani kumfukuza mtu bila kumsikiliza kwa tuhuma tu ambazo zaweza kuwa za maadui wa maeneo kazi.
Hata wewe ukituhumiwa kumtia mwanafunzi wako mimba, lazima usikilizwe kabla ya kufukuzwa kazi yako hiyo ya ualimu.
Ninavyojua Halmashauri lazima wamsikilize mtuhumiwa kabla ya kumfukuza, hivyo Meya wa kinondoni atakuwa sahihi.

Sio kuchanganyikiwa ni kutokujua tu mazingira ya kazi mbalimbali. Mwache. Ila umemwita MAMA una uhakika kuwa yeye ni Ke?
 
Habari wakuu

Kama mnavyojua hoja iliyotupa umaarufu sana sisi CHADEMA ni kupinga ufisadi, na tuliishika kwelikweli mpaka kuandaa list ya aibu ya mafisadi (akiwemo kipenzi chetu lowasa).

Awamu iliyopita CHADEMA haikupenda kabisa kitu kinaitwa " tume za uchunguzi", tulizipinga waziwazi bungeni kwa hoja kwamba zinalenga kusafisha mafisadi, na zinatumia pesa za umma bure huku report zake zikitupiliwa mbali. Tukafikia kumpa jina la "dhaifu" mh Kikwete kwa kuwa muoga "KUCHUKUA MAAMUZI" ya kuwatimua mafisadi.

Kwa kweli tulichokipinga ni, moja, mafisadi kuundiwa tume za uchunguzi, pili, udhaifu wa rais kutochukua maamuzi kwa haraka dhidi ya mafisadi

CHAKUSHANGAZA SASA

  1. Leo CHADEMA wanalia bungeni eti watu wanafukuzwa bila uchunguzi, eti rais na watendaji wake wanachukua maamuzi ya haraka sana,
  2. Leo chadema wanataka eti kufukuzwa kwa mafisadi kufuate mchakato, na tume za uchunguzi
  3. Leo CHADEMA wanatetea wabadhilifu wanaofukuzwa na serikali eti wanaonewa
Lakini wakati viongozi wa kisiasa wakitetea na kunung'unika kuhusu mafisadi kufukuzwa, watendaji wa chama wanafanya hayohayo. Mfano Meya wa Kinondoni kawatimua wafanyakazi kwa style ile ile

Kwa ufupi, TOKA LOWASSA NA SUMAYE wahamie CHADEMA kilichobaki vilevile ni BENDERA TU, MENGINE YOTE WAMEYABADILISHA, na hakuna wa kuzuia, sera imebadilika, salamu imebadilika (Lowassa mabadiliko), ofisi zimehamishwa kinyemera, hata MSIMAMO WA CHAMA HAUJULIKANI.

Hapa ufipa hatujielewi, KATIBU MKUU mwenyewe kashindwa kuanza kazi ya kuhamasisha sababu hajapewa SERA NA MSIMAMO wa sasa wa chama.

KIFUPI TUMECHANGANYIKIWA!!!!!!!!!


Hii mada imekaa kishabiki kabisa ungepata habari kwa ufupi ni kwa nn serikali inashindwa kesi zake nyingi ungewaonea huruma na usingeandika hapa sababu kuu ya kushindwa ni KUKURUPUKA waliosimamishwa kazi wapo kimya na serikali ipo kimya wajua kwa nn? Kuna watu serikali isupokuwa makini itawapa utajiri wa milele hilo ni angalizo badala ya kubana matumiz hizi pesa zitaishia ktk kes vifuatilie vifungy alivyotoa lissu je vipo?
 
najaribu kukumbuka kauli zao kipindi kifupi tu kilichopita cha rais JK na kauli za sasa kipindi cha rais JPM,sielewi mpaka sasa............
kipindi wanamsakama yule rais wao wanamwita wa mioyo yao,hawakuwahi kumwita kumsikiliza badala yake walitoa madongo kwake na wengine kumkashifu,ni hawahawa walipinga tume za uchunguzi sasa daaah hembu tusubiri miaka hata miwili ipite tuone mwelekeo wao upo wapi katika kipindi hiki cha JPM na katibu wao mpya na mikakati yake mh.MASHINJI
 
Chama kimegeuka mnara wa babeli...kila mtu ni kambale- mzeewetu babu Duni
 
LEO MNATAKA MAFISADI WASIKILIZWE, WAKATI LOWASA ALIPOLALAMIKA KUHUSU KUTOSIKILIZWA KATIKA KESI YA RICHMOND CHADEMA NDO WALIKUWA WA KWANZA KUSHABIKIA KUWA HAPAKUWA NA HAJA....hii ni dalili tosha kuwa tumechanganyikiwa chadema

Mwenyekiti wa Ile Kamati Teule alikuwa Nani?Kamati ilikuwa na wajumbe wangapi?
 
Hebu toa mfano ws fisadi aliyetumbuliwa. Mnadili na vidagaa wale mapapa mnajifanya hamuwaoni? Hebu niambie tangilu Msgu singie madsrakani ameshamkamata fisadiu gani? Kina Kilango na Kairuki?
 
Wewe mama ndo umechanganyikiwa,
Haiwezekani kumfukuza mtu bila kumsikiliza kwa tuhuma tu ambazo zaweza kuwa za maadui wa maeneo kazi.
Hata wewe ukituhumiwa kumtia mwanafunzi wako mimba, lazima usikilizwe kabla ya kufukuzwa kazi yako hiyo ya ualimu.
Ninavyojua Halmashauri lazima wamsikilize mtuhumiwa kabla ya kumfukuza, hivyo Meya wa kinondoni atakuwa sahihi.
Hiyo ya JPM ni kusimamisha kazi kupisha uchunguzi huwezi kuchunguza mtuhumiwa KIKAMILIFU wakati akiwa bado kwenye nafasi. Hata hivyo Rais ana mamlaka ya kutengua uteuzi wa mteuliwa naye endapo haridhishwi na utendaji wake. Hao wanaoamini kua Rais anakosea kwenye hatua anazochukua waendelee kumshauri ila wafahamu kua si kila ushauri unakubalika.
 
Habari wakuu

Kama mnavyojua hoja iliyotupa umaarufu sana sisi CHADEMA ni kupinga ufisadi, na tuliishika kwelikweli mpaka kuandaa list ya aibu ya mafisadi (akiwemo kipenzi chetu lowasa).

Awamu iliyopita CHADEMA haikupenda kabisa kitu kinaitwa " tume za uchunguzi", tulizipinga waziwazi bungeni kwa hoja kwamba zinalenga kusafisha mafisadi, na zinatumia pesa za umma bure huku report zake zikitupiliwa mbali. Tukafikia kumpa jina la "dhaifu" mh Kikwete kwa kuwa muoga "KUCHUKUA MAAMUZI" ya kuwatimua mafisadi.

Kwa kweli tulichokipinga ni, moja, mafisadi kuundiwa tume za uchunguzi, pili, udhaifu wa rais kutochukua maamuzi kwa haraka dhidi ya mafisadi

CHAKUSHANGAZA SASA

  1. Leo CHADEMA wanalia bungeni eti watu wanafukuzwa bila uchunguzi, eti rais na watendaji wake wanachukua maamuzi ya haraka sana,
  2. Leo chadema wanataka eti kufukuzwa kwa mafisadi kufuate mchakato, na tume za uchunguzi
  3. Leo CHADEMA wanatetea wabadhilifu wanaofukuzwa na serikali eti wanaonewa
Lakini wakati viongozi wa kisiasa wakitetea na kunung'unika kuhusu mafisadi kufukuzwa, watendaji wa chama wanafanya hayohayo. Mfano Meya wa Kinondoni kawatimua wafanyakazi kwa style ile ile

Kwa ufupi, TOKA LOWASSA NA SUMAYE wahamie CHADEMA kilichobaki vilevile ni BENDERA TU, MENGINE YOTE WAMEYABADILISHA, na hakuna wa kuzuia, sera imebadilika, salamu imebadilika (Lowassa mabadiliko), ofisi zimehamishwa kinyemera, hata MSIMAMO WA CHAMA HAUJULIKANI.

Hapa ufipa hatujielewi, KATIBU MKUU mwenyewe kashindwa kuanza kazi ya kuhamasisha sababu hajapewa SERA NA MSIMAMO wa sasa wa chama.

KIFUPI TUMECHANGANYIKIWA!!!!!!!!!
Acha sweeping statements, sema wewe UMECHANGANYIKIWA
 
Mkuu bila kupepesa huu ndio upinzani dhaifu kuwahi kutokea Tanzania

Umenena vyema
 
Habari wakuu

Kama mnavyojua hoja iliyotupa umaarufu sana sisi CHADEMA ni kupinga ufisadi, na tuliishika kwelikweli mpaka kuandaa list ya aibu ya mafisadi (akiwemo kipenzi chetu lowasa).

Awamu iliyopita CHADEMA haikupenda kabisa kitu kinaitwa " tume za uchunguzi", tulizipinga waziwazi bungeni kwa hoja kwamba zinalenga kusafisha mafisadi, na zinatumia pesa za umma bure huku report zake zikitupiliwa mbali. Tukafikia kumpa jina la "dhaifu" mh Kikwete kwa kuwa muoga "KUCHUKUA MAAMUZI" ya kuwatimua mafisadi.

Kwa kweli tulichokipinga ni, moja, mafisadi kuundiwa tume za uchunguzi, pili, udhaifu wa rais kutochukua maamuzi kwa haraka dhidi ya mafisadi

CHAKUSHANGAZA SASA

  1. Leo CHADEMA wanalia bungeni eti watu wanafukuzwa bila uchunguzi, eti rais na watendaji wake wanachukua maamuzi ya haraka sana,
  2. Leo chadema wanataka eti kufukuzwa kwa mafisadi kufuate mchakato, na tume za uchunguzi
  3. Leo CHADEMA wanatetea wabadhilifu wanaofukuzwa na serikali eti wanaonewa
Lakini wakati viongozi wa kisiasa wakitetea na kunung'unika kuhusu mafisadi kufukuzwa, watendaji wa chama wanafanya hayohayo. Mfano Meya wa Kinondoni kawatimua wafanyakazi kwa style ile ile

Kwa ufupi, TOKA LOWASSA NA SUMAYE wahamie CHADEMA kilichobaki vilevile ni BENDERA TU, MENGINE YOTE WAMEYABADILISHA, na hakuna wa kuzuia, sera imebadilika, salamu imebadilika (Lowassa mabadiliko), ofisi zimehamishwa kinyemera, hata MSIMAMO WA CHAMA HAUJULIKANI.

Hapa ufipa hatujielewi, KATIBU MKUU mwenyewe kashindwa kuanza kazi ya kuhamasisha sababu hajapewa SERA NA MSIMAMO wa sasa wa chama.

KIFUPI TUMECHANGANYIKIWA!!!!!!!!!
Kusema ule ukweli Chadema kwa sasa wanatia huruma sana
 
Taratibu za kikazi zinatoa mwangozo kuwa "kuachishwa kazi Mfanyakazi yeyote mpaka uchunguzi ufanyike na apewe nafasi ya kujitetea ikibainika anamakosa ndipo aachishwe kazi" - Standing Order
Hata kwa wenzetu wa Kiasia waliowaajiri ndugu zetu, wanatakiwa wafuate hilo.
....kumbuka Mh. JK alifanya hivyo hivyo, na kwa sababu mafisadi walikuwa na nguvu, basi waliweza kuzinunua hizo tume za uchunguzi na mwisho wake wanasafishwa na ninyi wapinzani mnalalamika kuwa tume za uchunguzi ni kupoteza muda. Pia kumbuka mfano tume ya Zitto ilikuja na mapendekezo Habid Singher afukuzwe nchini ndani ya masaa 24, na nyie wapinzani mlishobokea kweli kweli ila JK aliposema anafuata utaratibu (ingawa rais anayo mamlaka) nyie wapinzani mlimdharau sana na kumtukana. Pia hata sakata la Escrow lilipotokea mlitaka rais awasimamishe kazi vingozi waandamizi kadhaa ila yeye akasema kuna vyombo husika (ingawa uwezo wa kimamlaka kama rais alikuwa nao hakutaka kuutumia) ninyi pia mlilalamika. Kwa ufupi wapinzani nyie mmevuliwa nguo hamjielewi na mmechanganyikiwa kwelikweli.
 
Habari wakuu

Kama mnavyojua hoja iliyotupa umaarufu sana sisi CHADEMA ni kupinga ufisadi, na tuliishika kwelikweli mpaka kuandaa list ya aibu ya mafisadi (akiwemo kipenzi chetu lowasa).

Awamu iliyopita CHADEMA haikupenda kabisa kitu kinaitwa " tume za uchunguzi", tulizipinga waziwazi bungeni kwa hoja kwamba zinalenga kusafisha mafisadi, na zinatumia pesa za umma bure huku report zake zikitupiliwa mbali. Tukafikia kumpa jina la "dhaifu" mh Kikwete kwa kuwa muoga "KUCHUKUA MAAMUZI" ya kuwatimua mafisadi.

Kwa kweli tulichokipinga ni, moja, mafisadi kuundiwa tume za uchunguzi, pili, udhaifu wa rais kutochukua maamuzi kwa haraka dhidi ya mafisadi

CHAKUSHANGAZA SASA

  1. Leo CHADEMA wanalia bungeni eti watu wanafukuzwa bila uchunguzi, eti rais na watendaji wake wanachukua maamuzi ya haraka sana,
  2. Leo chadema wanataka eti kufukuzwa kwa mafisadi kufuate mchakato, na tume za uchunguzi
  3. Leo CHADEMA wanatetea wabadhilifu wanaofukuzwa na serikali eti wanaonewa
Lakini wakati viongozi wa kisiasa wakitetea na kunung'unika kuhusu mafisadi kufukuzwa, watendaji wa chama wanafanya hayohayo. Mfano Meya wa Kinondoni kawatimua wafanyakazi kwa style ile ile

Kwa ufupi, TOKA LOWASSA NA SUMAYE wahamie CHADEMA kilichobaki vilevile ni BENDERA TU, MENGINE YOTE WAMEYABADILISHA, na hakuna wa kuzuia, sera imebadilika, salamu imebadilika (Lowassa mabadiliko), ofisi zimehamishwa kinyemera, hata MSIMAMO WA CHAMA HAUJULIKANI.

Hapa ufipa hatujielewi, KATIBU MKUU mwenyewe kashindwa kuanza kazi ya kuhamasisha sababu hajapewa SERA NA MSIMAMO wa sasa wa chama.

KIFUPI TUMECHANGANYIKIWA!!!!!!!!!
Kama vigezo vyake vya kuchanganyikiwa ni hivyo, Mimi naomba wazidi kuchanganyikiwa.
Hamna mtu aliye juu ya sheria - Magufuli
1. Kwa miaka takribani 30 watanzania wengi Kama sio wote tumeishi bila kufuata sheria. Wazazi wameandikisha watoto wa umri mdogo shule na kuna wale hawakusoma kabisa, traffic offenses, wizi wa mitihani toka msingi, secondary nk. Rushwa ya ngono, ya pesa, ufisadi, udhalilishaji, kutumia lugha chafu etc etc. nilitegemea Magufuli alipoingia madarakani tutafuata sheria. Hata kama mtu amekosa, sheria za kazi zinataka mtu huyu asikilizwe. Hizo ndio sheria zetu. Endapo Rais anaona hizo sheria hazifai basi afanye mchakato wa kuzibadilisha.

2. Tusijitoe ufahamu tutafikiri Tanzania iliongozwa na chama pinzani. CCM ndiyo iliyovurunda kutufikisha hapa tulipo. Ukiufuatilia ufisadi wote mkubwa unaelekea upande mmoja, sehemu ambayo haiwezi kuguswa hata siku moja kwa sheria zetu za sasa. Mafisadi walizaliwa ndani ya CCM na wengi ndio waliko hivi sasa. Lakini haki lazima itendeke ku avoid lawsuits kama za Madabida. (Na watu hawa wametoka mbali kumbukeni zile pyramid scheme za ku empower women). Otherwise tutajiingiza kwenye mgogoro na mahakama zetu.

3. Mpaka hapa tulipo kuna vitu vinanichanganya- ada elekezi (sisi ni wajamaa?), kulinda viwanda vya sukari (ambavyo vinamilikiwa na wawekezaji, na mashamba pia ni Yao), utoaji wa tenda za usafi (watu wanalipwa na bado tunaambiwa wananchi tukafanye usafi). Mimi sijali Chadema inaenda wapi, hainihusu!! Ninachotaka kujua Tanzania inaenda wapi?
 
WATAKAPOANZA KUSHINDA KESI MSIKIMBILIE KUWAHUKUMU MAHAKIMU KWAMBA WAMEKULA RUSHWA YETU MACHO KESI NYINGI ZINACHEZEWA TOKA MWANZO KWA KUKURUPUKA HATUA ZA WATUHUMIWA HAZIFUATWI MAGUFULI ALIGAWA SAMAKI NA KUITEKELEZA MELI YA WACHINA WAJUA KILICHOMKUTA? MWANZO MZUR WA KESI HUWA NA MWISHO MZURI UKIKURUPUKA KTK SHERIA JUA UTASHINDWA TU.
Kwa hiyo nini kifanyike? Mtu ameiingizia serikali hasara na imethibitika kuwa yeye ndiyo chanzo, ingekuwa wewe ndiye mwenye mamlaka ya kutoa maamuzi ungefanyaje? Me nafikiri kinachofanyika ni kizuri kwa sababu mtu anasimamishwa kazi kupisha uchunguzi, ikithibitika hana kosa anarudishwa kazini.

Mimi ninachojua hakuna mtu ambaye amefukuzwa kazi bali wengi wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi, labda kama wewe unamjua nijulishe, wengine Rais alichofanya ni kutengua uteuzi na hili lipo ndani ya uwezo wake, kama yeye ndiye aliyemteua unataka nani amuondoe?
Tuache kudandia hoja bila kufanya tafakuri.
 
Kwa hiyo nini kifanyike? Mtu ameiingizia serikali hasara na imethibitika kuwa yeye ndiyo chanzo, ingekuwa wewe ndiye mwenye mamlaka ya kutoa maamuzi ungefanyaje? Me nafikiri kinachofanyika ni kizuri kwa sababu mtu anasimamishwa kazi kupisha uchunguzi, ikithibitika hana kosa anarudishwa kazini.

Mimi ninachojua hakuna mtu ambaye amefukuzwa kazi bali wengi wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi, labda kama wewe unamjua nijulishe, wengine Rais alichofanya ni kutengua uteuzi na hili lipo ndani ya uwezo wake, kama yeye ndiye aliyemteua unataka nani amuondoe?
Tuache kudandia hoja bila kufanya tafakuri.


Nani aliesibitika kuwa kaliingiza taifa hasara kati ya hao wote waliosimamishwa mtaje hapa!

Wote wanaotuhumiwa hakuna aliesibitika na usitibitisho hutoka mahakamani ni kesi ipi iliokwisha kuamuliwa na watu wapo jela kwa kulitia hasara taifa? kuwa makini.

Kwa hiyo mtu akituhumiwa tayar anakuwa kishahukumiwa? Hamna haja ya mahakama na utaratibu wa kufuata sheria kwa maelezo yako.
 
Taratibu za kikazi zinatoa mwangozo kuwa "kuachishwa kazi Mfanyakazi yeyote mpaka uchunguzi ufanyike na apewe nafasi ya kujitetea ikibainika anamakosa ndipo aachishwe kazi" - Standing Order
Hata kwa wenzetu wa Kiasia waliowaajiri ndugu zetu, wanatakiwa wafuate hilo.
Mfanyakazi gani aliyeachishwa kazi mkuu? Kwa sababu wafanyakazi wengi wamesimishwa kazi kupisha uchunguzi, tofautisha kati ya kuachishwa kazi na kusimamishwa, unapofanyika uchunguzi ndiyo nafasi ya mfanyakazi kujitetea, sidhani kama uchunguzi unafanyika bila kuhusisha mhusika, isitoshe hata kama mfanyakazi ataachishwa kazi bado ana nafasi ya kukata rufaa kwenye mamlaka ya rufaa, kada nyingine hutoa siku arobaini na tano za kukata rufaa tangu kuachishwa kazi.
 
Back
Top Bottom