sifongo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,896
- 5,303
kama mbowe amekalia ushahidi jamii imueleweje? inamuona kuwa ni GAIDI TU. NA ATAPIGWA TU
nafikiri bado wanafikiria mtu stahiki wa kumpa lkn kwa sasa na hali hii nchemba anayokaimu u amiri jeshi mkuu,wallah wakiutoa huo ushahidi ni sawa na kuutumbukiza chooni,mi nadhani serikali isingetegemea ushahidi wa mbowe ila ingefanya kazi yake na watuhumiwa wafikishwe mbele ya sheria,mbona yule kamanda aliyeuwawa kule mwanza fasta walianza kukamata watu bila hata kuomba ushahidi mahali.....leo vp arusha.