WanaJF!
Mpaka sasa CHADEMA hawajatoa ushahidi wowote ule kuhusiana na tukio la Soweto, Arusha lililo husisha mlipuko wa bomu ambao umepelekea vifo kwa wahanga hao wa bomu na ulemavu wa kudumu kwa watanzania wasio na hatia.
Jambo ambalo CHADEMA wamelifanya ni kutoa tuhuma tu kwa askari wa jeshi la polisi kuwa askari huyo ndiye alie husika na kurusha bomu hilo, lakini HAWATAKI kuthibitisha tuhuma zao kwa kuwasilisha USHAHIDI wao usio na shaka kwa mamlaka zinazo husika.
Kwa mantiki hiyo; jeshi letu la polisi limeundiwa picha mbaya kwenye jamii pasipo kuwepo na USHAHIDI wowote kuhusu ushirika wake kwenye mlipuko, zaidi ya kuleta HADITHI za matumizi ya DVR na CCTV Camera kwenye mikutano ya CHADEMA kuwa imemnasa askari huyo akirusha bomu.
Aidha, kwenye jamii bado suala hili linazungumzwa, na sio watu wote kwenye jamii walio na imani juu ya tuhuma za MBOWE kwa jeshi letu, hivyo hata baadhi ya watu wamekuja na hisia zao kuwa wenda ni CHADEMA yenyewe ndio imefanya tukio hilo la mlipuko kwa 'SABABU' zifuatazo;
i)Ni mkakati wa viongozi wa CHADEMA kuhakikisha wanaunda tukio ambalo lingeweza kufanya uchaguzi uliopaswa kufanyika ndani ya CHADEMA hivi karibuni una hairishwa.
ii)Ni katika kuhakikisha uchaguzi una chelewa kwa kujua kabisa kama ukifanyika LAZIMA watashindwa, kwani wananchi wengi wa Arusha wamechukizwa na maamuzi ya viongozi wa CHADEMA ya kuwatimua MADIWANI ambao wananchi wanawapenda.
iii)Ni katika kutafuta huruma ya wananchi kwa CHADEMA ili basi itengenezwe picha kuwa CHADEMA ni chama TISHIO, hivyo maadui zake CHADEMA hasa CCM imeshindwa hoja imeamua kurusha mabomu.
iv)Ni mkakati wa CHADEMA kujitangaza kimataifa hasa kwenye zile nchi ambazo zina fadhili chama hicho ikiwemo GERMANY, ili wafadhili hao wazidi kutoa misaada kwa CHADEMA kwa huruma waliyo ijenga kwa chama hicho kufuatia mlipuko huo.
Ndugu wanaJF, hizi hisia si zangu, ila ni minong'ono ya wananchi kuhusu namna ambavyo wao wametafsiri tukio zima, kwa hali hii basi, ni vyema MBOWE akapeleka USHAHIDI kwenye mamlaka zinazo husika kwani hii mitazamo ina pelekea CHADEMA kuonekana kimeratibu tukio la MLIPUKO kwenye mkutano wake Soweto, Arusha.
Mpaka sasa CHADEMA hawajatoa ushahidi wowote ule kuhusiana na tukio la Soweto, Arusha lililo husisha mlipuko wa bomu ambao umepelekea vifo kwa wahanga hao wa bomu na ulemavu wa kudumu kwa watanzania wasio na hatia.
Jambo ambalo CHADEMA wamelifanya ni kutoa tuhuma tu kwa askari wa jeshi la polisi kuwa askari huyo ndiye alie husika na kurusha bomu hilo, lakini HAWATAKI kuthibitisha tuhuma zao kwa kuwasilisha USHAHIDI wao usio na shaka kwa mamlaka zinazo husika.
Kwa mantiki hiyo; jeshi letu la polisi limeundiwa picha mbaya kwenye jamii pasipo kuwepo na USHAHIDI wowote kuhusu ushirika wake kwenye mlipuko, zaidi ya kuleta HADITHI za matumizi ya DVR na CCTV Camera kwenye mikutano ya CHADEMA kuwa imemnasa askari huyo akirusha bomu.
Aidha, kwenye jamii bado suala hili linazungumzwa, na sio watu wote kwenye jamii walio na imani juu ya tuhuma za MBOWE kwa jeshi letu, hivyo hata baadhi ya watu wamekuja na hisia zao kuwa wenda ni CHADEMA yenyewe ndio imefanya tukio hilo la mlipuko kwa 'SABABU' zifuatazo;
i)Ni mkakati wa viongozi wa CHADEMA kuhakikisha wanaunda tukio ambalo lingeweza kufanya uchaguzi uliopaswa kufanyika ndani ya CHADEMA hivi karibuni una hairishwa.
ii)Ni katika kuhakikisha uchaguzi una chelewa kwa kujua kabisa kama ukifanyika LAZIMA watashindwa, kwani wananchi wengi wa Arusha wamechukizwa na maamuzi ya viongozi wa CHADEMA ya kuwatimua MADIWANI ambao wananchi wanawapenda.
iii)Ni katika kutafuta huruma ya wananchi kwa CHADEMA ili basi itengenezwe picha kuwa CHADEMA ni chama TISHIO, hivyo maadui zake CHADEMA hasa CCM imeshindwa hoja imeamua kurusha mabomu.
iv)Ni mkakati wa CHADEMA kujitangaza kimataifa hasa kwenye zile nchi ambazo zina fadhili chama hicho ikiwemo GERMANY, ili wafadhili hao wazidi kutoa misaada kwa CHADEMA kwa huruma waliyo ijenga kwa chama hicho kufuatia mlipuko huo.
Ndugu wanaJF, hizi hisia si zangu, ila ni minong'ono ya wananchi kuhusu namna ambavyo wao wametafsiri tukio zima, kwa hali hii basi, ni vyema MBOWE akapeleka USHAHIDI kwenye mamlaka zinazo husika kwani hii mitazamo ina pelekea CHADEMA kuonekana kimeratibu tukio la MLIPUKO kwenye mkutano wake Soweto, Arusha.