JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,395
- 9,676
Ninachoo kifurahia tu kwasasa kazi zinapigwa, Kuna watu wanashinda huku kutwa wakijaza upepo wa kwenye mitandao. Waambieni waende huko mitaani na vijijini wakaone baadhi ya mambo yalivyo. Hadi kufikia 2020 kunawatu watapata aibu , . Bro Magu anapiga kazi sio mchezo. Taratiibu naona serikali ikirudi mikononi mwa wanchi na maamuzi mengi kwa sasa yanafanywa na wananchi. Miradi yote inasimamiwa na wananchi. Kweli Magu ni mpango wa Mungu.