CHADEMA: Tuambieni mmekusanya shilingi ngapi kupitia Mitandao ya Simu?

Wanataka kujua zimekusanywa ngapi ili wakapange jinsi ya kwenda kuchakachua serikalini kama walivyozoea,maana CCM hawana mbinu nyingine ya kupata pesa zaidi ya kuchota fedha za wananchi kwa kutumia njia za kifisadi!
 
Serikali chini ya tamisemi ituambie ilikusanya shilingi ngapi na vifaa gani kiasi gani wakati tulipochangia mafuriko jiji Dar kupitia mtandao wa kampuni ya vodacom, tujulishwe pia kila muhanga wa yale mafuriko alipewa shilingi ngapi.
 
Wana JF, Salaam,
Chadema walizindua mfumo wa wanachama kuchangia chama chao kupitia Mitandao ya simu kama
vile M-pesa, tigopesa nk nk. Ni mfumo mzuri na ni vyema kuutumia kama chama.

Lakini pamoja na gharama kubwa za uzinduzi wa huduma hii kukusanya pesa kutoka kwa wananchi
wenye mapenzi mema na chadema mpaka leo haifahamiki chama kimekusanya kiasi gani kutoka kwa
wavuja jasho wa Tanzania. Na kibaya zaidi kumekuwa na usiri mkubwa juu ya makusanyo ya pesa
kupitia njia hii.

Habari ambazo ziko wazi ni kuwa kwasasa ni M/Kiti-Mbowe na Katibu Mkuu- Dr Slaa ndio wanajua ni
kiasi gani kimekusanywa kupitia mfumo huu. Hali hii imeleta sintofahamu kubwa ndani ya chadema hasa
wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwani kuna Wilaya na Mikoa iko hoi kutokana na
ukata wa pesa.

Nimalizie kwa kusema "Uungwana ni Vitendo" ni vyema tukawa WASAFI!!!

Mandla
Wa Dodoma.

Anza kwanza wewe ueleze kiasi ulicho changia ukithibitisha kwa ushahidi.
 
Wanataka kujua zimekusanywa ngapi ili wakapange jinsi ya kwenda kuchakachua serikalini kama walivyozoea,maana CCM hawana mbinu nyingine ya kupata pesa zaidi ya kuchota fedha za wananchi kwa kutumia njia za kifisadi!

Hivi unaijua vizuri ccm??? Ilikuwepo kabla wewe hujazaliwa.
 
Serikali chini ya tamisemi ituambie ilikusanya shilingi ngapi na vifaa gani kiasi gani wakati tulipochangia mafuriko jiji Dar kupitia mtandao wa kampuni ya vodacom, tujulishwe pia kila muhanga wa yale mafuriko alipewa shilingi ngapi.

Penye hoja nzito, hebu tumia akili yako kujibu..
 
Hata hapa nimejibu, kwa nini hiyo inakuwa ngumu kuelezwa na sisi tulichanga?
 
Wana JF, Salaam,
Chadema walizindua mfumo wa wanachama kuchangia chama chao kupitia Mitandao ya simu kama
vile M-pesa, tigopesa nk nk. Ni mfumo mzuri na ni vyema kuutumia kama chama.

Lakini pamoja na gharama kubwa za uzinduzi wa huduma hii kukusanya pesa kutoka kwa wananchi
wenye mapenzi mema na chadema mpaka leo haifahamiki chama kimekusanya kiasi gani kutoka kwa
wavuja jasho wa Tanzania. Na kibaya zaidi kumekuwa na usiri mkubwa juu ya makusanyo ya pesa
kupitia njia hii.

Habari ambazo ziko wazi ni kuwa kwasasa ni M/Kiti-Mbowe na Katibu Mkuu- Dr Slaa ndio wanajua ni
kiasi gani kimekusanywa kupitia mfumo huu. Hali hii imeleta sintofahamu kubwa ndani ya chadema hasa
wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwani kuna Wilaya na Mikoa iko hoi kutokana na
ukata wa pesa.

Nimalizie kwa kusema "Uungwana ni Vitendo" ni vyema tukawa WASAFI!!!

Mandla
Wa Dodoma.

wanachadema wapo kama wamelishwa limbwata na mbowe, hawana muda wa kujiuliza maswali kama haya, wanakamuliwa sawa sawa!
 
Hivi unaijua vizuri ccm??? Ilikuwepo kabla wewe hujazaliwa.

Ni kweli ilikuwepo tangu sijazaliwa na ni kweli imechota fedha za watz kwa kipindi chote kwa kufanyia mambo ya kipuuzi mfano kutengeneza manguo ya kuwapa wadanganyika pamoja na kutoa takrima a.k.a.rushwa.Shukrani kwa Chadema na baadhi ya vyama vinavyounda ukawa kwa kuanzishwa na kusaidia kutufumbua macho watanzania,sasa tunajua ni kiasi gani mmetufanya mazuzu kwa kisingizio cha uzalendo na amani.Vitu ambavyo mnahubiri lakini hamtekelezi.Siku na saa ya kuwakimbiza inakaribia na muda si mrefu!!
 
So far wamekusanya 320 Billioni kama mlizoiba pale BOT via ESCROW a/c... SO what?...


Wana JF, Salaam,
Chadema walizindua mfumo wa wanachama kuchangia chama chao kupitia Mitandao ya simu kama
vile M-pesa, tigopesa nk nk. Ni mfumo mzuri na ni vyema kuutumia kama chama.

Lakini pamoja na gharama kubwa za uzinduzi wa huduma hii kukusanya pesa kutoka kwa wananchi
wenye mapenzi mema na chadema mpaka leo haifahamiki chama kimekusanya kiasi gani kutoka kwa
wavuja jasho wa Tanzania. Na kibaya zaidi kumekuwa na usiri mkubwa juu ya makusanyo ya pesa
kupitia njia hii.

Habari ambazo ziko wazi ni kuwa kwasasa ni M/Kiti-Mbowe na Katibu Mkuu- Dr Slaa ndio wanajua ni
kiasi gani kimekusanywa kupitia mfumo huu. Hali hii imeleta sintofahamu kubwa ndani ya chadema hasa
wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwani kuna Wilaya na Mikoa iko hoi kutokana na
ukata wa pesa.

Nimalizie kwa kusema "Uungwana ni Vitendo" ni vyema tukawa WASAFI!!!

Mandla
Wa Dodoma.
 
Limbwata umelishwa ww unaeshuhudia wanaccm wenzio wanakwapua mabilioni kwenye mifuko ya sandarusi huku mjomba wako akishindwa kumudu mlo mmoja kwasiku na bado unawashobokea hao MAFISADI... BTW FISTULA inatibika same kwa TEZI DUME... Wahi mapema kwa wataalam ...

wanachadema wapo kama wamelishwa limbwata na mbowe, hawana muda wa kujiuliza maswali kama haya, wanakamuliwa sawa sawa!
 
Mleta mada nakuomba utuwekee MESSAGE ya kuthibitisha malipo yako, ile ambayo ulitumiwa na M-PESA kuthibitisha kuwa umechangia CHADEMA.Ukiweka hiyo SMS nitakupa hesabu kamili ya fedha zilizokusanywa mpaka sasa.
 
Wana JF, Salaam,
Chadema walizindua mfumo wa wanachama kuchangia chama chao kupitia Mitandao ya simu kama vile M-pesa, tigopesa nk nk. Ni mfumo mzuri na ni vyema kuutumia kama chama.

Lakini pamoja na gharama kubwa za uzinduzi wa huduma hii kukusanya pesa kutoka kwa wananchi wenye mapenzi mema na chadema mpaka leo haifahamiki chama kimekusanya kiasi gani kutoka kwa wavuja jasho wa Tanzania. Na kibaya zaidi kumekuwa na usiri mkubwa juu ya makusanyo ya pesa kupitia njia hii.

Habari ambazo ziko wazi ni kuwa kwasasa ni M/Kiti-Mbowe na Katibu Mkuu- Dr Slaa ndio wanajua ni kiasi gani kimekusanywa kupitia mfumo huu. Hali hii imeleta sintofahamu kubwa ndani ya chadema hasa wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwani kuna Wilaya na Mikoa iko hoi kutokana na ukata wa pesa.

Nimalizie kwa kusema "Uungwana ni Vitendo" ni vyema tukawa WASAFI!!!

Mandla
Wa Dodoma.

Wewe umeshasema chama chao uwambiwe kama nani peleka ufisadi Lumumba
 
Pomoja na kumiliki viwanja vya mpira ni ngumu kupata mapato na matumizi ya fedha hizo hapo lumumba
 
Si rahisi kukuta chama cha siasa kikiweka mapato yake wazi kwa wanachama wake, hasa kwa nchi zinazoendelea kwani demokrasia imekuwa kitendawili.. Chadema, CCM wote wale wale..
 
Back
Top Bottom