CHADEMA: Tuambieni mmekusanya shilingi ngapi kupitia Mitandao ya Simu?

CHADEMA: Tuambieni mmekusanya shilingi ngapi kupitia Mitandao ya Simu?

kada la c.c.m linahoji mapato ya michango ya harambee za chadema.
Huu ni uwendwazimu huu!.

Kwa kawaida wana chama wa cdm, ni waoga kuhoji mapato na matumizi.....mnaogopa kufukuzwa!!!

Hata tukiwasaidia bado mnalalamika...
 
Wamepata 123,560/=

Huwa mnashikwa masikio kirahisi sana!! Na hamjitambui.

Mlikuwa na haja gani ya kutuonyesha siku ya kwanza, na sasahivi hamtaki kutupa mmepata
shilingi ngapi..
 
Back
Top Bottom