CHADEMA: Tuambieni mmekusanya shilingi ngapi kupitia Mitandao ya Simu?

CHADEMA: Tuambieni mmekusanya shilingi ngapi kupitia Mitandao ya Simu?

Mkuu hizi ni akili zako au umeshikiwa???

Serikali na CCM lazima kuonesha mfano bora wa matumizi ya fedha za umma, sasa fedha zinakwapuliwa mpo mchana kweupe mnakaa kimya zaidi ya wiki mbili sasa, nani atawajibika kwa vipimo sahihi iwapo chama tawala ni wezi??? CUF au CDM pekee???
 
Wana JF, Salaam,
Chadema walizindua mfumo wa wanachama kuchangia chama chao kupitia Mitandao ya simu kama vile M-pesa, tigopesa nk nk. Ni mfumo mzuri na ni vyema kuutumia kama chama.

Lakini pamoja na gharama kubwa za uzinduzi wa huduma hii kukusanya pesa kutoka kwa wananchi wenye mapenzi mema na chadema mpaka leo haifahamiki chama kimekusanya kiasi gani kutoka kwa wavuja jasho wa Tanzania. Na kibaya zaidi kumekuwa na usiri mkubwa juu ya makusanyo ya pesa kupitia njia hii.

Habari ambazo ziko wazi ni kuwa kwasasa ni M/Kiti-Mbowe na Katibu Mkuu- Dr Slaa ndio wanajua ni kiasi gani kimekusanywa kupitia mfumo huu. Hali hii imeleta sintofahamu kubwa ndani ya chadema hasa wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwani kuna Wilaya na Mikoa iko hoi kutokana na ukata wa pesa.

Nimalizie kwa kusema "Uungwana ni Vitendo" ni vyema tukawa WASAFI!!!

Mandla
Wa Dodoma.

Ujinga mwingine! Hivi hiyo M-Pesa na tiGO-Pesa ni simu za Mbowe na Slaa? Kama unalijua hilo, unashindwaje kujua wamepata shilingi ngapi mpaka uje kuuliza hapa JF? Chama chochote hakiwezi kuchafuliwa kihivyo.
 
Wana JF, Salaam,
Chadema walizindua mfumo wa wanachama kuchangia chama chao kupitia Mitandao ya simu kama vile M-pesa, tigopesa nk nk. Ni mfumo mzuri na ni vyema kuutumia kama chama.

Lakini pamoja na gharama kubwa za uzinduzi wa huduma hii kukusanya pesa kutoka kwa wananchi wenye mapenzi mema na chadema mpaka leo haifahamiki chama kimekusanya kiasi gani kutoka kwa wavuja jasho wa Tanzania. Na kibaya zaidi kumekuwa na usiri mkubwa juu ya makusanyo ya pesa kupitia njia hii.

Habari ambazo ziko wazi ni kuwa kwasasa ni M/Kiti-Mbowe na Katibu Mkuu- Dr Slaa ndio wanajua ni kiasi gani kimekusanywa kupitia mfumo huu. Hali hii imeleta sintofahamu kubwa ndani ya chadema hasa wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwani kuna Wilaya na Mikoa iko hoi kutokana na ukata wa pesa.

Nimalizie kwa kusema "Uungwana ni Vitendo" ni vyema tukawa WASAFI!!!

Mandla
Wa Dodoma.

Mkitupa Majina ya waliokwapua pesa zetu BOT (ESCROW ACCOUNT) tutawaambia kiasi gani tumekusanya.Kwasasa shughulikeni na waliotuibia.
 
Wewe umechangia shilingi ngapi kwa ushahidi kisha ukijibiwa ni sahihi
 
Mkitupa Majina ya waliokwapua pesa zetu BOT (ESCROW ACCOUNT) tutawaambia kiasi gani tumekusanya.Kwasasa shughulikeni na waliotuibia.

Hizi ni akili za kuambiwa na kusikia, hebu sasa changanya na za kwako alafu uje ukiwa vizuri
 
Pesa za SABODO zimeliwa, Pesa za M4C zimeliwa na wajanja akina LEMA, Hata hizi za sasa bila shaka akina Mbowe wameshaziweka kimiani ndio maana unaona kimya!
Lema anakupigilia msumari nini? kila siku lazima umtaje....Mzalie mtoto tujue moja

 
Wana JF, Salaam,
Chadema walizindua mfumo wa wanachama kuchangia chama chao kupitia Mitandao ya simu kama vile M-pesa, tigopesa nk nk. Ni mfumo mzuri na ni vyema kuutumia kama chama.

Lakini pamoja na gharama kubwa za uzinduzi wa huduma hii kukusanya pesa kutoka kwa wananchi wenye mapenzi mema na chadema mpaka leo haifahamiki chama kimekusanya kiasi gani kutoka kwa wavuja jasho wa Tanzania. Na kibaya zaidi kumekuwa na usiri mkubwa juu ya makusanyo ya pesa kupitia njia hii.

Habari ambazo ziko wazi ni kuwa kwasasa ni M/Kiti-Mbowe na Katibu Mkuu- Dr Slaa ndio wanajua ni kiasi gani kimekusanywa kupitia mfumo huu. Hali hii imeleta sintofahamu kubwa ndani ya chadema hasa wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwani kuna Wilaya na Mikoa iko hoi kutokana na ukata wa pesa.

Nimalizie kwa kusema "Uungwana ni Vitendo" ni vyema tukawa WASAFI!!!

Mandla
Wa Dodoma.

Michango ya nguvu ya maabara mmekusanya ngapi?
 
Wana JF, Salaam,
Chadema walizindua mfumo wa wanachama kuchangia chama chao kupitia Mitandao ya simu kama vile M-pesa, tigopesa nk nk. Ni mfumo mzuri na ni vyema kuutumia kama chama.

Lakini pamoja na gharama kubwa za uzinduzi wa huduma hii kukusanya pesa kutoka kwa wananchi wenye mapenzi mema na chadema mpaka leo haifahamiki chama kimekusanya kiasi gani kutoka kwa wavuja jasho wa Tanzania. Na kibaya zaidi kumekuwa na usiri mkubwa juu ya makusanyo ya pesa kupitia njia hii.

Habari ambazo ziko wazi ni kuwa kwasasa ni M/Kiti-Mbowe na Katibu Mkuu- Dr Slaa ndio wanajua ni kiasi gani kimekusanywa kupitia mfumo huu. Hali hii imeleta sintofahamu kubwa ndani ya chadema hasa wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwani kuna Wilaya na Mikoa iko hoi kutokana na ukata wa pesa.

Nimalizie kwa kusema "Uungwana ni Vitendo" ni vyema tukawa WASAFI!!!

Mandla
Wa Dodoma.

Halafu ukishajua itakusaidia nini?
 
wana jf, salaam,
chadema walizindua mfumo wa wanachama kuchangia chama chao kupitia mitandao ya simu kama vile m-pesa, tigopesa nk nk. Ni mfumo mzuri na ni vyema kuutumia kama chama.

Lakini pamoja na gharama kubwa za uzinduzi wa huduma hii kukusanya pesa kutoka kwa wananchi wenye mapenzi mema na chadema mpaka leo haifahamiki chama kimekusanya kiasi gani kutoka kwa wavuja jasho wa tanzania. Na kibaya zaidi kumekuwa na usiri mkubwa juu ya makusanyo ya pesa kupitia njia hii.

Habari ambazo ziko wazi ni kuwa kwasasa ni m/kiti-mbowe na katibu mkuu- dr slaa ndio wanajua ni kiasi gani kimekusanywa kupitia mfumo huu. Hali hii imeleta sintofahamu kubwa ndani ya chadema hasa wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa kwani kuna wilaya na mikoa iko hoi kutokana na ukata wa pesa.

Nimalizie kwa kusema "uungwana ni vitendo" ni vyema tukawa wasafi!!!

mandla
wa dodoma.

kada la c.c.m linahoji mapato ya michango ya harambee za chadema.
Huu ni uwendwazimu huu!.
 
Hizi ni akili za kuambiwa na kusikia, hebu sasa changanya na za kwako alafu uje ukiwa vizuri

Kama umeziona hizi ni za kuambiwa,basi ujue hata RAIS wetu anazo za kuambiwa tuuuuuuuuu,maana wanasema kama MZAZI kichwani patupu basi ujue hata watoto wake wote kwa asilimia 100 watakuwa watupu.

So Baba yetu ana akili za kuambiwa hainishangazi na siye watoto wake kuwa na za kuambiwa,inclusive wewe uliyeanijibu hapo juu.:msela::msela::msela::msela::msela::msela:
 
Back
Top Bottom