TUNTEMEKE
Platinum Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 580
Kwa kuwa suala la kupinga posho likikuwa ni la chama kama mwenyekiti Mbowe alivyowahi kaliliwa huko nyuma na kusisitiza hilo si suala la zitto na kwa kuwa rais kapitisha nyongeza ya posho ya vikao kwa wabunge,twaomba Dr slaa kama katibu wa chama utoe tamko na ikibid tujue ni atua gan kama chama itazichukia. Mwisho,wananchi tumepokea kwa masikitiko makubwa kusikia wabunge wachadema nao walishangilia nyongeza ya posho mara baada ya kuambiwa na spika kuwa rais kakubali nyongeza hiyo,Naomba wote walioshangilia wafukuzwe kama tulivyotaka kumuadibisha shibuda.Vinginevyo tutaonekana wanafiki.