sungusungu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 3,057
- 722
No sweetKwa kuwa mpaka sasa hakuna dalili za kumpata Katibu Mkuu Huko CDM, ebu basi mfikirieni Huyu bwana aliyejitolea kuwa Afisa habari wenu wakati wa Kampeni mpaka akawatosa wanawe na kusalimika peke yake. Huyu anafaa... Mfikirieni tafadhali.