Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Kweli upuuzi hauna bei. Ile ni ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano(feki) wa Tanzania. Mpangaji wetu mle kawekwa na Tume ya uchaguzi anatambuliwa kwa kutangazwa. Ofisi haijafungwa mpaingaji ndiye mvamizi; CDM wanachofanya ni kumuonyesha kwa vitendo uwezo walionao wakiwaungwa mkono wananchi waliowengi .