CHADEMA tamkeni wazi kumtambua JK (Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
Jana tarehe 27/11/2011 JK alikutana na ujumbe wa CHADEMA Ikulu kwa mazungumzo ya mchakato wa kupata katiba mpya. Mazungumzo hayo yanaendelea leo tarehe 28/11/2011. Nakumbuka kwamba CHADEMA waliwahi kutamka kwamba hawatambui kama JK ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hoja yangu ni kwamba kama wamekutana naye kama Rais wa nchi, basi watoe tamko la kumkubali.
 
Kwani yeye ameshatamka nani Gamba au ametoa tamko la kuwavua Gamba CHEL?????
 
Jana tarehe 27/11/2011 JK alikutana na ujumbe wa CHADEMA Ikulu kwa mazungumzo ya mchakato wa kupata katiba mpya. Mazungumzo hayo yanaendelea leo tarehe 28/11/2011. Nakumbuka kwamba CHADEMA waliwahi kutamka kwamba hawatambui kama JK ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hoja yangu ni kwamba kama wamekutana naye kama Rais wa nchi, basi watoe tamko la kumkubali.

unafikiri kwa kutumia nini vile?Ni lini CDM walisema hawamtambui Kikwete kama rais?
 
@VGL, CHADEMA hawakuhi kusema hawamtambui Rais, na hata msingi wa kutoka bungeni wakati rais Kikwete anahubutubia bunge sio kwamba hawamtambui ila hawakubaliani na MCHAKATO uliotumika kumpa kura za ushindi. Hili ndilo dai la CHADEMA na ndio sababu kuu ya kutaka katiba mpya kwa sababu kwa katiba iliyopo sasa tume ya uchaguzi inakuwa chini ya rais hivyo haipo huru, na mbaya zaidi hata pale tume inapofanya makosa kwenye kusimamia uchaguzi wakishaamtanga mshindi wa urais haku
na mtu au chombo chochote kinachoruhusiwa kuhoji!

Kwenye uchaguzi uliopita (2010) CHADEMA walijaribu sana kuiasa NEC wasitishe kutangaza matekeo ya kura za urais hadi pale watakapohakiki kura toka sehemu mbalimbali. Ushahidi wa madai yao (CHADEMA) walionesha lakini NEC kwa sababu haiko huru, ni tume ya ofisi moja ilifanya kama bosi wao alivyowataka - wakatangaza matokeo yenye utata.

Hii ni kinyume kabisa na kanuni za utawala bora na vizuri tukajitahidi kuweka ushabiki wa kiitakadi na tukajitahidi kuelewa madhara yake kwa ustawi wa taifa.
 
Jana tarehe 27/11/2011 JK alikutana na ujumbe wa CHADEMA Ikulu kwa mazungumzo ya mchakato wa kupata katiba mpya. Mazungumzo hayo yanaendelea leo tarehe 28/11/2011. Nakumbuka kwamba CHADEMA waliwahi kutamka kwamba hawatambui kama JK ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hoja yangu ni kwamba kama wamekutana naye kama Rais wa nchi, basi watoe tamko la kumkubali.
VGL, actions speak louder than words, Chadema hawana haja ya kusema wanamtambua, mambo mengine yanamalizwa kuitu uzima tuu. Nilishawaambia siku nyingi kuhusu hilo katika thread yangu ya "Chadema Wamtambua JK Kinyemela", that was then, now sio kinyemela tena bali ni mambo hadharani!.
 
Jana tarehe 27/11/2011 JK alikutana na ujumbe wa CHADEMA Ikulu kwa mazungumzo ya mchakato wa kupata katiba mpya. Mazungumzo hayo yanaendelea leo tarehe 28/11/2011. Nakumbuka kwamba CHADEMA waliwahi kutamka kwamba hawatambui kama JK ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hoja yangu ni kwamba kama wamekutana naye kama Rais wa nchi, basi watoe tamko la kumkubali.

Mkuu,
Nakuuliza swali gumu, sikutukani,

Hivi mama yako akikuambia kuwa baba yako alinibaka, nikapata mimba, ndo ukazaliwa wewe mwanangu VGL. utamkana baba yako hata kama ubakaji ni kosa la jinai? Huwezi kukana kwa sababu huo ndio ukweli ambao huwezi kuubadili. Baba yako ni baba yako bila kujali alitongoza au alibaka.



Je, baada ya Chadema kuwa na uhakika kuwa kura zao zimechakachuliwa (mimi nina ushahidi wa jimbo la ubungo, na baada ya kutangazwa na tume ya Taifa ( ambao mpaka leo wameshindwa kuweka vizuri ktk website yao vizuri ya Tume) Chadema wangefanya nini? Kwa mujibu wa katiba hii mbovu, kikwete ni Rais mara tu baada ya kutangazwa na tume ya uchaguzi. Hakuna mahakama ya kupinga kutangazwa kwake na si ushindi wake. Elewa. Kwangu mimi mshindi ni Dr Slaa. Huu ndio ukweli mchungu.
Chadema hajawahi kusema hawamtambui rais, na hawawezi kufanya hivyo kikatiba, ila waliwahi kulalamika baba yao ( Rais) kubaka demokrasia akisaidiwa na tume na usalama wa ccm aka Taifa?)
 
ninachokumbuka CDM waliwahi kusema kuwa hawatambui mfumo uliotumika katika uchaguzi na kumpa ushindi. Ila hawajasema kuwa hawamtambui yeye kama Rais
 
VGL, actions speak louder than words, Chadema hawana haja ya kusema wanamtambua, mambo mengine yanamalizwa kuitu uzima tuu. Nilishawaambia siku nyingi kuhusu hilo katika thread yangu ya "Chadema Wamtambua JK Kinyemela", that was then, now sio kinyemela tena bali ni mambo hadharani!.
Dhana za Chadema zinapotoshwa makusudi! Hata ahadi ya kuanza mchakato wa katiba ndani ya siku 100 hadi Rais anaipotosha! Mkuu Pasco ni vyema kuwa mtu huru ktk kukosoa lakini usitake uonekane huru kwa kukosoa tuuu mpaka unapotosha! Nakuheshimu sana kwasababu naijua nafasi yako! Hukosoi kwa namna ya kujenga hata kidogo bali kujionesha huna upande tena kwa kupotosha.hebu uliza motive ya cdm wakati ule ilikuwa nini na imefanikiwaje pengine utaelewa! Usitumie jina lako na heshima unayopewa humu na kwenye media house nyingi hapa Bongo kupotosha hoja nyingi makusudi! Hoja zako hazijengi bali kubomoa na tena huwa unasubiri "yaharibike" useme! Si vizuri mkuu! Nakushauri tu naamini utanisikia ingawa mimi ni mtu mdogo sana! heshima mbele mkuu.
 
Jana tarehe 27/11/2011 JK alikutana na ujumbe wa CHADEMA Ikulu kwa mazungumzo ya mchakato wa kupata katiba mpya. Mazungumzo hayo yanaendelea leo tarehe 28/11/2011. Nakumbuka kwamba CHADEMA waliwahi kutamka kwamba hawatambui kama JK ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hoja yangu ni kwamba kama wamekutana naye kama Rais wa nchi, basi watoe tamko la kumkubali.
Kazi ya chadema ni kutanga raisi wa tanzania?
wapi na lini walisema hawamtambui raisi wa tanzania.....
 
Mtoa hoja, naomba uelewe mara baada ya uchaguzi Chadema walionyesha ukomavu wa hali ya juu sana kwa kuwaambia wapigakura na mashabiki wao wasubirini watatoa tamko, maana wangetamka lolote wakati ule, tungerudia ya kenya, nadhani hata JK anawashukuru sana kwa hilo...... na ndio ukomavuuuu wa kisiasa
 
VGL, actions speak louder than words, Chadema hawana haja ya kusema wanamtambua, mambo mengine yanamalizwa kuitu uzima tuu. Nilishawaambia siku nyingi kuhusu hilo katika thread yangu ya "Chadema Wamtambua JK Kinyemela", that was then, now sio kinyemela tena bali ni mambo hadharani!.

Pasco, wewe kama mwandishi wa habari unapaswa kuwa makini zaidi ya hapo. Hivi wewe ulitaka Chadema waingie msituni kuanzisha vita? Maana ktk mfumo wa mabunge ya jumuiya ya madola tunaoufuata, kutoka nje ni desturi ya kawaida kuonesha hisia ya kutoinga mkono jambo, hata samwel Sitta amewahi kutamka hivyo. Chadema wana uhakika wameibiwa kura, na wana uhakika hawezi kumtoa kwa mujibu wa katiba. wafanyaje sasa? Tuhame nchi twende kenya? Acha ushabiki wa kiccm inayokufa very soon.
 
Mkuu,
Nakuuliza swali gumu, sikutukani,

Hivi mama yako akikuambia kuwa baba yako alinibaka, nikapata mimba, ndo ukazaliwa wewe mwanangu VGL. utamkana baba yako hata kama ubakaji ni kosa la jinai? Huwezi kukana kwa sababu huo ndio ukweli ambao huwezi kuubadili. Baba yako ni baba yako bila kujali alitongoza au alibaka.



Je, baada ya Chadema kuwa na uhakika kuwa kura zao zimechakachuliwa (mimi nina ushahidi wa jimbo la ubungo, na baada ya kutangazwa na tume ya Taifa ( ambao mpaka leo wameshindwa kuweka vizuri ktk website yao vizuri ya Tume) Chadema wangefanya nini? Kwa mujibu wa katiba hii mbovu, kikwete ni Rais mara tu baada ya kutangazwa na tume ya uchaguzi. Hakuna mahakama ya kupinga kutangazwa kwake na si ushindi wake. Elewa. Kwangu mimi mshindi ni Dr Slaa. Huu ndio ukweli mchungu.
Chadema hajawahi kusema hawamtambui rais, na hawawezi kufanya hivyo kikatiba, ila waliwahi kulalamika baba yao ( Rais) kubaka demokrasia akisaidiwa na tume na usalama wa ccm aka Taifa?)
Mfano mzuri sana naamini atakuwa amekuelewa.....
njia tuliyokuwa nayo chadema labda kuingia vitani je ndiyo ilikuwa furaha ya VGL.....
 
Hoja ni Katiba...Mambo ya kutambuana au la yaliisha zamani!...Unasemaje kuhusu muswada unaoelekea kusainiwa na rais?
 
There are currently 20 users browsing this thread. (8 members and 12 guests)
Jabulani, andrewk, Mikael P Aweda, kanta, Pasco, mchambuzixx, Avanti

Nitakufuata popote Pasco unipe jibu, hata kama utakwepa. Ulikula kiapo kwamba KAMWE JK hatakutana na CHADEMA na LAZIMA atausaini muswada kabla ya tarehe 01/12/2011. Jambo mojawapo limeonekana ni UONGO wako (la kutokutana na CHADEMA kamwe!). Unatoleaje ufafanuzi uongo wa kiapo chako hicho? Mimi huwa sipendi watu waongo wachangie humu JF
 
Tumejaliwa kuwa na wasomi lakini tuna upungufu ya wajuzi i.e wenye ufahamu kielimu wengine huwaita think tanks, ama magwiji wa fikra. kinachowasumbua wengi wetu ni kutathmini mambo kijuu juu kiasi kwamba hawaelewi hoja zinazojadiliwa vema. Na matokeo yake kupoto ukweli. CDM hawakuwahi kusema hawamtambui rais, wanaijua vyema sana katiba ya nchi, kutomtambua rais ni uhaini. Hawakubaliani na mchakato uliomwingiza rais madarakani. Rais anajiundia tume anaiita tume ya uchaguzi, wanatumia ofisi za serikali, wasimamizi wakuu wa majimbo ni wakurugenzi wa halmashauri, wanapojumlisha matokeo wana hiyari ya kukaribisha mawakala wa vyama ama la, wakitangaza matokeo (waliyojumlisha wenyewe) hakuna chombo chochote cha kuwahoji. Kwa mfumo huo hata watu 5000 tu kati ya 20,000,000 wanaweza kumwingiza rais madarakani.
Pili CDM hawaupingi muswada wa marekebisho ya katiba kama JK na wabunge wake wanavyotaka umma uamini, wanapinga kupitisha muswada huo kinyume na kanuni za bunge kwa kutumia ubabe wa spika na wingi wa wadandia hoja.
Mengine yamefafanuliwa na wachangiaji wengine.
 
''Mtatoka nje lakini mtarudi tu kwasababu mimi ninabaki kuwa Rais wenu na hamna mwingine wa kumkimbilia mtakapokuwa na matatizo''- Jakaya Kikwete on Chadema's decision of boycotting his 10th Parliament inauguration speech.
 
Jana tarehe 27/11/2011 JK alikutana na ujumbe wa CHADEMA Ikulu kwa mazungumzo ya mchakato wa kupata katiba mpya. Mazungumzo hayo yanaendelea leo tarehe 28/11/2011. Nakumbuka kwamba CHADEMA waliwahi kutamka kwamba hawatambui kama JK ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hoja yangu ni kwamba kama wamekutana naye kama Rais wa nchi, basi watoe tamko la kumkubali.

Ninachokumbuka ni kwamba Chadema walisema hawatambui mchakato mzima uliomweka JK madarakani, lakini kwa vile ndiye aliyetangazwa na tume kwamba ndiye mshindi hawakuwa na njia nyingine ya kumpinga kisheria na kikatiba, ndiyo maana walitoka nje ya bunge wakati rais analihutubia bunge ili kuonyesha hisia zao, baada ya hapo walirejea kuendelea kuijadili hotuba ile. Katu hawajawahi kusema hawamtambui rais kwani katiba imeshaeleza wazi akishatangazwa na tume ndiye raisi!!!! Wanaofikiria kwa kutumia masaburi kama wewe ndio wanaoeneza upotoshaji huu
 
Mkuu,
Nakuuliza swali gumu, sikutukani,

Hivi mama yako akikuambia kuwa baba yako alinibaka, nikapata mimba, ndo ukazaliwa wewe mwanangu VGL. utamkana baba yako hata kama ubakaji ni kosa la jinai? Huwezi kukana kwa sababu huo ndio ukweli ambao huwezi kuubadili. Baba yako ni baba yako bila kujali alitongoza au alibaka.



Je, baada ya Chadema kuwa na uhakika kuwa kura zao zimechakachuliwa (mimi nina ushahidi wa jimbo la ubungo, na baada ya kutangazwa na tume ya Taifa ( ambao mpaka leo wameshindwa kuweka vizuri ktk website yao vizuri ya Tume) Chadema wangefanya nini? Kwa mujibu wa katiba hii mbovu, kikwete ni Rais mara tu baada ya kutangazwa na tume ya uchaguzi. Hakuna mahakama ya kupinga kutangazwa kwake na si ushindi wake. Elewa. Kwangu mimi mshindi ni Dr Slaa. Huu ndio ukweli mchungu.
Chadema hajawahi kusema hawamtambui rais, na hawawezi kufanya hivyo kikatiba, ila waliwahi kulalamika baba yao ( Rais) kubaka demokrasia akisaidiwa na tume na usalama wa ccm aka Taifa?)

du huu mfano mgumu kweli
 
Back
Top Bottom