Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Jana tarehe 27/11/2011 JK alikutana na ujumbe wa CHADEMA Ikulu kwa mazungumzo ya mchakato wa kupata katiba mpya. Mazungumzo hayo yanaendelea leo tarehe 28/11/2011. Nakumbuka kwamba CHADEMA waliwahi kutamka kwamba hawatambui kama JK ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hoja yangu ni kwamba kama wamekutana naye kama Rais wa nchi, basi watoe tamko la kumkubali.
Hoja yangu ni kwamba kama wamekutana naye kama Rais wa nchi, basi watoe tamko la kumkubali.