CHADEMA siyo chama kikuu cha upinzani

CHADEMA siyo chama kikuu cha upinzani

Administer

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2020
Posts
2,633
Reaction score
2,378
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi
 
CHADEMA kina wabunge 19 wa viti maalum na mbunge mmoja kule Nkasi
1000036783.jpg
 
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi
Basi sawa
 
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi
Wala cdm kwa taarifa yako hawajivunii kuwa chama kikuu cha upinzani. Naona umeongea kama vile wanaona ni bonge la ufahari. Cdm wanataka kuwa chama tawala, ww unaongelea chama kikuu cha upinzani kama ni sifa sana!
 
Wala cdm kwa taarifa yako hawajivunii kuwa chama kikuu cha upinzani. Naona umeongea kama vile wanaona ni bonge la ufahari. Cdm wanataka kuwa chama tawala, ww unaongelea chama kikuu cha upinzani kama ni sifa sana!
Msijigambe .CHAUMMA 2 CHADEMA 0.Mmekosa viongozi wenye dira
 
Wala cdm kwa taarifa yako hawajivunii kuwa chama kikuu cha upinzani. Naona umeongea kama vile wanaona ni bonge la ufahari. Cdm wanataka kuwa chama tawala, ww unaongelea chama kikuu cha upinzani kama ni sifa sana!
Utamkumbuka shujaa wa Afrika ambae ulikuwa ukimuita dhalimu
 
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi

Lete uchaguzi wa huru na haki
Hapo ndio utajua,
 
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi
Kwani nani amebisha sasa? saizi CHAUMA ndio chama kikuu cha upinzani

Kwetu ni No reform No Election hiyo kazi ya kuwa chama kikuu cha upinzani tunawaachia CHAUMA na ACT hapo vipi?
 
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi


Acheni chadema wawaambie watu wao kutoshiriki uchaguzi

Na nyie waambieni watu wenu wakashiriki uchaguzi simple kabisa
 
Mnachokosea ni kila mara kuitamka CHADEMA badala ya kupambana na hali zenu
 
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi
Ni jambo la kushangaza,wanajiita chama kikuu cha upinzani,wakati mwenyekiti wao ,hajawahi hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi,wakati ACT wazelendo,mwenyekiti wao ni makamo wa Rais,na hata mwenyekiti Seif Hamad,alikuwa pia makamu ya Rais
 
ko yule wa nkasi ni wa chama gani kama hana hata mbunge mmoja
 
Back
Top Bottom