Bali ni baba yangu.
Najua akina Nape, ritz, Zomba na the likes ambao wapambanaji mtanisaidia kuwataja, wamekimbilia post hii wakijua labda Dr. Slaa karudisha kadi na kujiunga na magamba.
Eee bwana ni mimi Saganka, nasema CHADEMA si mama yangu bali ni baba yangu maana wababa ndo wapiganaji wakuu wa haki katika jamii kama yetu,ndo maana mikutano ya cdm 80% au zaidi ni vidume.
Baada ya kusoma post hii, magamba hao wameingia mitini.
Najua akina Nape, ritz, Zomba na the likes ambao wapambanaji mtanisaidia kuwataja, wamekimbilia post hii wakijua labda Dr. Slaa karudisha kadi na kujiunga na magamba.
Eee bwana ni mimi Saganka, nasema CHADEMA si mama yangu bali ni baba yangu maana wababa ndo wapiganaji wakuu wa haki katika jamii kama yetu,ndo maana mikutano ya cdm 80% au zaidi ni vidume.
Baada ya kusoma post hii, magamba hao wameingia mitini.