CHADEMA si Legelege-Dr Slaa

mimi mwenyewe ni mpiga kura wa zzk. . Kusema ukweli dogo watu hawakua na imani naye tena. Hata uchaguzi wa 2010 alipita kwa mbinde
Dogo Zitto amenipunguzia sana kasi ya kupenda siasa na wanasiasa,mm pamoja na UCCM wangu nilikuwa natamani siku awe mwana ccm lakini asiyekuwa mamluki kama alivyo sasa. Namchukulia Zitto kama machagudoa walioko soko la vitunguu Mwanza.
 
Sasa subirini leo Kigoma sukari itakaposhuka

.
Mtakufa kihoro. Labda mna mpango wa kutumia mabomu kama ya kanisani Olisati na mkutanoni chadema Ar? Hata hivyo vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Rwanda walio mahakamani kwa zile vurugu ni watu waliofuatiliwa kwenye media na walikuwa wameandika vitisho ama hivi vya kwako. Jaribu kuchunga kauli zako.
.
 

Mwanzoni nilidhani na wewe ni kamanda wa ukweli. Kumbe ndo walewale!!!.
 

Pamoja sana Dr Slaa. Chanja mbuga baba.
 
Poleni sana ule umati wa wanakahama ni pigo takatifu kwenu masalia na vimelea vyake vyote

Kama wewe ndy mkweli weka picha za mabago. halaf utupe na ukweli mkutano wa ccm mbeye ilikuwaje?
 
Ile picha watu werevu waliishtukia kwa sababu Dr. Slaa kafika uwanjani saa 12 na robo lakini kwenye ile picha jua kali linawaka. Kahama saa 12 na robo hakuna jua kali!

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...

CCM si chama laghai miaka 50 stil shule hazina dawati barabara hazipiti na kodi nalipa, tembo wanateketea viongozi wanachekeana. hongelen ccm matatizo tuliyonayo kwa sasa ni zzk na cdm.
 
“Chama hiki kimepita kila aina ya propaganda ikiwemo hii ya juzi ya ugaidi" - Slaa

Jamani hayo ni maneno ya Slaa, anamaanisha nini?
 

Lete picha yako ya jana basi, kinyume chake piga kimya
 
Mapambano yanaendelea....


“Chama hiki kimepita kila aina ya propaganda ikiwemo hii ya juzi ya ugaidi,"- Slaa

Sisi tnaelewa mkisema mapambano mnamaanisha nini, si mnataka "kufika nchi ya ahadi"? - Halima Mdee - Bungeni
 

Mnashindwa kunishawishi hakuna hata picha inayoonyesha hayo mabango, nitaaminije?
 
Mapambano yapi? Kati ya nani na nani?

Kati ya Mafisadi na wapigania haki za raia
Kati ya wala Rushwa na Wakemea Rushwa
Kati ya CCM na CDM
Kati ya Waua Tembo na Walinda tembo
Kati ya Wewe na mimi
 
Je Havikuwepo vyombo vya habari TV ili watuoneshe live kwenye taarifa zao za habari. Penye ukweli uongo ujitenga
 
Pamoja na udaku wake ni moja ya gazeti linalopendwa hapa nchini na mauzo yake ni ya juu sana ukilinganisha na uhuru, habari leo, etc

Magazine ya UDAKU huitwa magazeti pendwa kwa sababu watu wengi hupendelea kusoma UDAKU.
 

Kimbunga akili yako ina kimbunga kama jina lako ? Vurugu ndiyo hizo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…