CHADEMA si Legelege-Dr Slaa

Mkuu hivi unategemea Tanzania Daima wataandika nini, hata hiyo habari wameandika kiujanja ujanja kiukweli hali ni mbaya Chadema.

Dr wa kiukweli anachanja nyie bakini na porojo zenu za buku7, "SLAA NI NURU NA CDM NI JEMBE AMBALO LIYATUKOMBOA TOKA KWA WADHALIMU WALIOVAA NGOZI YA KONDOO-MA-CCM"
 
Ndio chama pekee kinachothubutu kufanya maamuxi magumu bola wogA na kuzingatia misingi ya katibA yake. Magamba kamwe hawana ujanja wa kufanya kama CHADEMA. hakuna mkuubwa anayeizidi katiba au chamA. Umaarufu ukizidi kixhwa shid ndio za kutaka kuwakashifu mpak walio kulea
 
Mkuu hivi unategemea Tanzania Daima wataandika nini, hata hiyo habari wameandika kiujanja ujanja kiukweli hali ni mbaya Chadema.

Hakika hali ni mbaya.......hii ilikuwa jana huko KAHAMA.....watu walikuwa wachache sana!

 
Kwanini mmeleta piha ya mwaka 2011 na kuwalaghai watu kuwa ni picha ya jana?

Kuanzia leo nimekuona kilaza sana the Macupolo nimekuwa CDT kahama tangu saa nane mchana hapo kwa Mchihiyo watu walikuwa wengi sana.
 

ha ha ha ha jamaa anaandika kitu ambacho hakipo moyoni mwake..du buku7 ni hatari wakuu.
 

Mkuu Tumaini Makene kama kulikuwa na watu mbona mmeweka picha za mwaka 2011 badala ya picha za jana? Au na hizo zimewekwa na kagazeti? Kama Magazeti yameongopa na nyinyi mbona mnaongopa mchana kweepeee kwa nini hamuleti picha za jana?
 
Last edited by a moderator:

Wewe ni Colonel kama kina Makenga??
 

Thread haijafungwa imeunganishwa na nyingine yenye maudhui yanayofanana. Mkuu Tanzania ya sasa sio ya majuha, Kahama ni karibu Sana, just a single call unapata ukweli. Don't get yourself brainwashed na Grayson Nyakarungu na Habibu Mchange kwa ahadi za uongo za jamaa Yao Zitto ambao soon tunawasahau kwenye siasa za Tanzania baada ya kuchukua kadi yake ya uanachama
 

Umefuatilia wapi na sisi tufuatilie tuone
 
Last edited by a moderator:
wew brigedia mchovu weka ushahid wako hapa kwamba dr alizomewa c povu linakutoka tuu na uweke tuone na hao watu wachache unosema walikuwepo cos cdm.wameshatoa mpaka picha tunasubiri zako brigedia mbea
 
Mkuu Tumaini Makene kama kulikuwa na watu mbona mmeweka picha za mwaka 2011 badala ya picha za jana? Au na hizo zimewekwa na kagazeti? Kama Magazeti yameongopa na nyinyi mbona mnaongopa mchana kweepeee kwa nini hamuleti picha za jana?

Hata kada mwenzio Michuzi ameweka ushuhuda. Kwa hiyo naye ni muongo?

http://4.bp.blogspot.com/-j03zFgmyi...ks3BUld7xY/s1600/Slaa+kuhutubia+Kahama+1..jpg

http://4.bp.blogspot.com/-9pXvxEQ1Q...33UalLXxj0/s1600/Slaa+kuagana+na+wananchi.jpg
 
Picha zinazowekwa hapoa ni za mwaka 2011!! Lete za jana mkuu utushuhudishe.

Kwanza ni umbumbumbu kuwaaminisha watu kuwa jana Chadema walifanikiwa kupiga picha mbili tu. Hili haliingii akilini.

Picha hizi ni za mwaka 2011 na hawana nyingine za eneo hilo ndio maana wanaonyesha hizi mbili tu!!!
 

Shura ya ma imamu kama CC yao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…