CHADEMA si kimbilio la wasomi!

Inahitaji elimu ya degree ngapi kupiga kura?ulihitajika kuwa na elimu ipi kufanya research kama hiyo isiyo na hata nukta ya usomi?una kazi wewe? Njoo kwangu uogeshe watoto nikulipe kuliko kujiharishia kama hivyo n'gombe tasa wee.
 
Unawazungumzia wasomi gani, hawa wanaoficha fedha nje au wanaowaachia wazungu na waasia wachukue madini yetu bila sisi kufaidika na lolote pia wanakusanya kodi t 8 matumizi yao t 11, kama hizo ndio sifa za usomi, bora wale wa darasa la nane mkoloni au hata hao wa form 4 na 6 waliofeli
 
Hilo jina lako litakuwa na athari kubwa mno huko uendako!!ukiponea kuwa shoga (kama bado)basi lazima utakuwa zezeta,na dalili zimeanza kujionyesha wazi kabisa.
 

Hapo kwenye Red ndipo mlipo na ndipo nilipo pakusudia. Haya mimi sipo, heri wenyewe mmejionyesha dhahiri RANGI zenu.

Heri umekubali kuwa mtaongoza bila shule. ....."Kumbukeni uongozi hausomewi na madigree si kigezo cha kuongoza nchi wewe unaweza ukawa umesoma lakini akili ya kufikiraia huna"

Mtajichuja mmoja mmoja.
 
ndo mawazo ya msomi kweli? wewe ni prof kweli? mpaka udharau ma prof wengine kweli? vp we najua kama una elimu ya juu sana ni 1 degree,vp watu wakiaanza kusema degree yako ni feki! kwa kweli hata wanaokaa vijiweni unaowaita sio wasomi wakisoma post yako hii lazima washushe uwezo wa wasomi wetu.
kwa kweli umejishusha sana kwa utafiti wako
 

Mmmmmmm sina imani kuwa CDM wataleta shibe. Ninachoona mimi, hawa CHADEMA wataongeza njaa + vita. Mwenyewe jaza kipi ni afadhali.
 

Nakubaliana na wewe kuwa Chadema si kimbilio la wasomi tu bali ni kimbilio la watu wote wasomi, wakulima, wasio na kazi

Inaonekana hata wewe kama umesoma elimu haijakukomboa unafuata upepo tu, Msomi gani ambaye unashabikia CCM leo, hata kama una maslahi unatakiwa kuwa mkweli acha kupiga porojo ndugu yangu. Ni vema watanzania tukaacha unafiki na kujikomba leo hii unalo la kujivunia kuwa ndani ya CCM? Tanzania inahitaji watu wanaojitmbua na kulielewa Taifa lao limetoka wapi, linakwenda wapi na liko wapi ndipo tutasonga mbele. Lakini unafiki na kujipendekeza kwa watawala hatutafika ni vema tuseme iliyokweli ndipo tutawakomboa wanyonge.

Elimu yako ikusaidie kuona mbali wasikoona wengine, uelewe palipo na dhuruma kwa ajili ya akina bibi, yatima, wajane wanaodhrumiwa haki zao za msingi. Unaweza ukasoma ukawa mwizi, mnafiki, tapeli, fisadi nk elimu yako haitakuwa na maana.
 
Kama hoja yako kuu ni hii basi endelea kukua mkuu!

Tumewachoka chadema wanaoshabikia hawakijui undani wake ila ukiwa mchunguzi utagundua kile ni chama cha ukoo wa kaskazini mwa Tanzania.
 

Kweli wewe ni zawadi ya magamba, unaona sasa vijana wa vijiweni wanavyo wafanya muweweseke? Ndo umeandika nini matapishi matupu?
 
Sawa cdm hakuna wasomi, tunaomba utwambie hao wasomi wenu wamelisaidia vipi taifa?

Je usomi unapimwa kwa kulilaza taifa na giza?

Je usomi unapimwa kwakuiba pesa na kuziweka uswisi?

je usomi unapimwa kwa kuteua ma jaji wasio na shahada?

Je usomi unapimwa kwa kuwambia wananchi wasio weza kulipia kivuko wapige mbizi?
 
Zawadi wewe nimeapa mshabiki si msomi. msomi lazima uwe umefanya utafiti kabla hajazungumza(NO RESEARCH NO RIGHT TO TALK)! Wewe kwa upeo wako mdogo umeshindwa hata kuangalia uchaguzi mkuu wa 2010 hao Chadema walipata kura ngapi against CCM. kumbuka CCM na raslimali zoote polisi jeshi pesa nk. kumbuka pia kule Igunga Arumeru, Ilemela kwa Dialo, kwa Marmo kwa Masha aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani nk!! Kama wewe ni msomi usomi wako haukusaidii. tumia usomi wako kuwakomboa Watz walio wengi badala ya kushabikia kundi dogo la Mafisadi wanaoneemeka kwa raslimali za hao hao unaowaita wewe vijana wa kijiweni as if walipenda au wanapenda kukaa vijiweni. umesahau ni nani amesababisha wao kuwa vijiweni leo hii!! Shame on you!
 
Hujaichoka cdm umechoka kufikiri kwa kina, jaribu kujitazama upya.
Tumewachoka chadema wanaoshabikia hawakijui undani wake ila ukiwa mchunguzi utagundua kile ni chama cha ukoo wa kaskazini mwa Tanzania.
 
Kwa sababu wewe umechagua njia ya matusi basi.

Nitajaribu kujibu hoja lakini si matusi.

 

Ukisikia mbwa anabweka bweeeeeeeeeeeeee!Ujue jiwe limempata
 
mtoa mada una hoja dhafu sana.....
tatnzania wasomi wa vyuo vikuu ni less than 5% of the entire popoulation.. hata kama wakiingia wote chadema ukichukua ratio yao kwa wananchi wa kawaida utakuta kati ya vijana 100 ni watatu au wanne ndio wasomi wa vyuo vikuu...sasa sijui unajenga hoja gani hapa
punguza jazba na kukurupuka...THINK OUT OF THE BOX(the ccm mentality)
 

Yani safari hii mtasema yote ila ukweli utabaki palepale.
Ccm mnatabia ya kujitekenya wenyewe alafu mnakenua wenyewe.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…