CHADEMA si kimbilio la wasomi!


CCM kweli haitaki wavivu, wazembe, na mazezeta? Naibu waziri Mulugo asiyejua hata Tanzania ilitokana na nini nae ni Chadema? Na ni kweli hajui maana hata alipopewa nafasi ya kurekebisha pale Clouds fm bado alisema 'Tanzania ni zao la Pemba, Zanzibar na Tanzania bara'

CCM kinachowalinda ni kuwa mna mafisadi wengi walioweza kununua vyeti vya magumashi. Yaani wenyewe mnajisiiiifu kuwa na mwenyekiti mwenye doctorates 3 hewa bwa bwa bwa bwa!
 
Umeamua kuwatukana watanzania wenzako? Bahati umesemea humu jamvini. Ingekuwa ni jukwaani...

Kaka bora ukatubu na Mungu atakusamee
 
Nyege za kisiasa mbaya sana ona hoja zake ko vjana wa vijiweni sio wapiga kula.

sema "kura" sio "kula". siasa ni zaidi ya kura. kwahiyo umuhimu wa vijana wa kijiweni kwako ni kukipigia chama chako kura. mnaweza kudhanimnakitetea chama kumbe mnatuangusha tu. sio kila hoja ujibu.
 
hao ndiyo wapiga kura wetu wakubwa ambao ninyi manawadharau,sasa kinakuuuma nini kama tukiwa na watu hawana elimu na wavijiweni?
 
hao ndiyo wapiga kura wetu wakubwa ambao ninyi manawadharau,sasa kinakuuuma nini kama tukiwa na watu hawana elimu na wavijiweni?
 
labda kama hatumuenzi baba wa taifa mwalimu aliwahi kukisifia kwa kusema ni CHADEMA NI CHAMA CHA WATU WENYE AKILI NA NDIYO KINAWEZA KUJA KUSHIKA DOLA.nakumbuka wakati huo aliviponda vyama vingine vya upinzania na kusema we cannot give the country to the dogs.wakati huo chadema hawakuwa wamesimamisha mgombea urais enzi za mrema na nccr mageuzi.Kwa hisia zangu naona mwalimu aliona mbali kwani mpaka sasa CHADEMA wana mchango mkubwa katika maendeleo ya taifa,nakumbuka sera yao kugeuza majengo ya wafanyakazi dodoma kuwa chuo kikuu,nakumbuka ishu ya katiba mpya,sasa tusubiri ccm watacopy na sera ya majimbo.na mambo mengi ya kupambana na ufisadi.
 
Naomba kupinga kwa nguvu hoja hii!ukweli upande wa vyuo hata ukifanya tathimini sasa 90% ni cdm na 10% ccm na vyama vingine,nalisema hili kwakuwa mm ni mmoja wa jamii ya wanavyuo, utakumbuka uchaguzi uliopita wa kuwa zuia wanafunzi wa vyuo vikuu wasipige kura kwa kisingizio cha kila raia tatakiwa kupiga kura pale alipo andikishwa hivyo ikawawia vigum kupata haki yao ya kimsingi,pia kwa kuwa wasomi nitishio serikari iliamua kuandika waraka na kuusambaza ma ofisini kwa kutoa onyo yakuwa wawe makioi na wanafunzi wanao rudi vyuo vikuu kwani wamekuwa chachu ya mabadiliko na kuwafumbua macho wote walio lala,hili tumelishuhudia pia katika midahalo mbalimbali imeonekana wasomi wengi kutokubaliana na chama tawala. Hawa wanachuo ukichamganya na adha ya mikopo! Ukweli wanahasira ambayo itaonnyeshwa 2015.
 
Nimeufuatilia uzi huu naona kizunguzungu! Mtoa maada hatofautishi kati ya educated na learned! Learned wengi cdm!
 
View attachment 69330
Mkuu kama Babaa Junior alivutengeneza ugomvi kwa wanandoa hawa kisha akaiba mke wa jamaa? au ulikuwa una-maana gani mkuu
yaani kuna kawaida wanandoa wakaishi kwa amani kwa muda kisha pakatokea siku wakakosana mmoja mke/mme akanena yasiyo nenwa mfano; we unaweza kujiita mwanamme/mwanamke .. mi nakufichia siri tu .. n.k pia binadamu huwa na wivu hasa wakiona mwenzao anapata umaarufu hasa kwa kutajwa mara kwa mara watasema .. hamna lolote yule si chochote .. kwanza .. Sasa chadema wamefika mahali ambapo wamepata umaarufu baadhi ya watu wnaona wivu na kusema mara wahuni, hawajasoma, wana ukabila n.k. kwa nini wasiviseme vyama vidogo vidogo? ndo nasema hii ni kuktishana tamaa basi kama achofanyacho mtu ni halali asikate tamaa.
 
Kama Chadema hakuna wasomi na wameweza kushawishi taifa na kuitikisa serikali kiasi hiki basi hao ndio wanaofaa kutuongoza sasa hata kabla ya 2015
 

wewe kwa nza si msomi!unadhani umesoma!?ask your brain sincerely(naibu waziri wa elimu)-eti nimesoma while lugha uliyopata hiyo-brain value -huijui?foolish tanzanians1?.?!
 

Poor argument. Nani aliyesababisha kuwepo kwa makundi hayo uliyoyataja? Sera ya Elimu (soma Ujinga) inayotumika nchini ni ya nani?

Hivi ujinga si ulikuwa miongoni mwa mitaji yenu (CCM) mikubwa? Tulia hivyo hiyvo wananchi wameamka na wanaichukua nchi yao toka mikononi mwenu mbwa-mwitu.

Zawadi, hayo majigambo na mabezo yenu yatakuwa majuto makubwa sana mbele ya sanduku la kura 2014 na 2015
 
wewe kwa nza si msomi!unadhani umesoma!?ask your brain sincerely(naibu waziri wa elimu)-eti nimesoma while lugha uliyopata hiyo-brain value -huijui?foolish tanzanians1?.?!

Nimesoma post nyingi mnazojibu , nimemuamini Zawadi ngoda kwamba vijana wa chadema ni vilaza tu walioko vijiweni tu
kazi yao ni matusi, mipasho , udaku na kejeli kama post zenu zinavyojionyesha
 

bora CDM wana viongozi wanaotumia vyeti vyao halisi sio wa ccm wanaotumia majina ya watu wengine? je hapo nan bora

kuhusu uwepo wa wasomi cdm wapo wengi ww jiunge utawajua na kwa taarifa zako 90% waajiriwa wa serikali ni pro cdm, ndio maana hata ccm waliaibika ktk uchakachuaji wa matokeo 2010
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…