Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Click the link below:
Waheshimiwa Wabunge wa CHADEMA
Thats the link with list of Shadow Cabinet ministers ambao so far naona anayesikika kiasi ni huyo one and only Zitto. Lakini wengine wote ni kama vile hawapo na its fair to say kuwa washakuwa irrelevant by default.
Ukweli usiopingika kuwa in opposition, picking the wrong person means you will stay in opposition for longer kwa sababu wananchi as much as washachoka na ( status quo) lakini kila wakiangalia the alternative naona wanaona comedians and jokers.
It is difficult to imagine what the leader of opposition bwana Freeman Aikaeli Mbowe must be thinking. Being made leader under these circumstances is a bit like being given a new toy (and I'm not talking about lile Vogue lake), but a toy kwa maana kama toy ambayo zinauzwa pale toto junction but told that you can only play with it in the way that the giver wants. Oh, and they not only want you to play nicely with it, but you have to share it with the rest of your new class (Zitto et al) some of whom are girls (Halima Mdee and the likes).
The really important thing here, is that whatever Bwana Mbowe and his entourage huko Chadema decides to do, he needs to decide to do it quickly. As much as kila mtu anasema ni cosmetic changes lakini CCM washaanza walau kuonyesha kuwa they are doing soul searching na "kujivua gamba " as well as hiyo ripoti ya Consultant (regardless kama unakubaliana nayo au la).
After events in Dom, kuna watu wakaaanza kusema it is high time that Chadema started presenting some credible opposition to a government that, frankly, has been taking advantage of the lack of one. The CCM Government has been able to do what they like because there's no-one to try and stop or even question them. Lakini after going through Chadema's website nikaona hiyo list ya the so called Shadow Cabinet, then I guess hakuna haja ya kutafuta Consultant kuwaambia whats wrong with Chadema as a party na Freeman Mbowe as their leader.
One might say kuwa ohhh Freeman didn't have enough time time to vet his the RIGHT cabinet, well, It`s an oxymoron. Or in Chadema's case, just a bunch of morons wamejazwa mle na hawana lolote (Kielimu na kimawazo) mfano mzuri ni this dude under the name of Ezekia D. Wenje ambaye ni Shadow Foreign Minister, alikuwa kajificha kwenye Facebook ana update status zake kila dakika na kuwa poke wenzie wakati waTanzania wamekwama Libya na Japan. Baada ya kujua what he has been up nikasema its not his fault kwani kutegemea statement from him is like asking a plumber to do a heart bypass operation!
Then kuna Wizara ambazo Freeman alimua kujaza bila kuzingatia uwezo wao kama akina Regia Mtema (Kazi na ajira), Lucy Owenya (Wizara ya Viwanda na Biashara)
Naomi A. Kaihula (Jamii jinsia na watoto) Highness Kiwia (Maji)...hizi wizara zote zimekuwa kwenye misuko sukomingi tangu Cabinet mpya ichaguliwe lakini hawa wa Chadema wamekuwa kimya hakuna aliyekuja na alternative policy paper yoyote kutuambia what's wrong with policies za CCM. It can be argued kuwa Freeman kujaza wanawake wasio na uwezo ni sawa na feminisation of Chadema, which to my mind is a good thing because it is going to get screwed from now on mpaka watakapo amka na kuja with proper lineup.
Perhaps Freeman's political adviser will be Halima Mdee? It has become a parody for shadow male Politicians. The only things we can expect from Freeman are parrot phases, from someone pulling his strings. The question who exactly is this unknown person?
Kama mnabisha waambieni walete C,V za hiyo Shadow Cabinet ndio mtaelewa kuwa these jokers. For this, its fair to say kuwa never in the field of human conflict in the land of Kilimanjaro...has so much damage, been inflicted on so many people, by so few...muppets!
Waheshimiwa Wabunge wa CHADEMA
Thats the link with list of Shadow Cabinet ministers ambao so far naona anayesikika kiasi ni huyo one and only Zitto. Lakini wengine wote ni kama vile hawapo na its fair to say kuwa washakuwa irrelevant by default.
Ukweli usiopingika kuwa in opposition, picking the wrong person means you will stay in opposition for longer kwa sababu wananchi as much as washachoka na ( status quo) lakini kila wakiangalia the alternative naona wanaona comedians and jokers.
It is difficult to imagine what the leader of opposition bwana Freeman Aikaeli Mbowe must be thinking. Being made leader under these circumstances is a bit like being given a new toy (and I'm not talking about lile Vogue lake), but a toy kwa maana kama toy ambayo zinauzwa pale toto junction but told that you can only play with it in the way that the giver wants. Oh, and they not only want you to play nicely with it, but you have to share it with the rest of your new class (Zitto et al) some of whom are girls (Halima Mdee and the likes).
The really important thing here, is that whatever Bwana Mbowe and his entourage huko Chadema decides to do, he needs to decide to do it quickly. As much as kila mtu anasema ni cosmetic changes lakini CCM washaanza walau kuonyesha kuwa they are doing soul searching na "kujivua gamba " as well as hiyo ripoti ya Consultant (regardless kama unakubaliana nayo au la).
After events in Dom, kuna watu wakaaanza kusema it is high time that Chadema started presenting some credible opposition to a government that, frankly, has been taking advantage of the lack of one. The CCM Government has been able to do what they like because there's no-one to try and stop or even question them. Lakini after going through Chadema's website nikaona hiyo list ya the so called Shadow Cabinet, then I guess hakuna haja ya kutafuta Consultant kuwaambia whats wrong with Chadema as a party na Freeman Mbowe as their leader.
One might say kuwa ohhh Freeman didn't have enough time time to vet his the RIGHT cabinet, well, It`s an oxymoron. Or in Chadema's case, just a bunch of morons wamejazwa mle na hawana lolote (Kielimu na kimawazo) mfano mzuri ni this dude under the name of Ezekia D. Wenje ambaye ni Shadow Foreign Minister, alikuwa kajificha kwenye Facebook ana update status zake kila dakika na kuwa poke wenzie wakati waTanzania wamekwama Libya na Japan. Baada ya kujua what he has been up nikasema its not his fault kwani kutegemea statement from him is like asking a plumber to do a heart bypass operation!
Then kuna Wizara ambazo Freeman alimua kujaza bila kuzingatia uwezo wao kama akina Regia Mtema (Kazi na ajira), Lucy Owenya (Wizara ya Viwanda na Biashara)
Naomi A. Kaihula (Jamii jinsia na watoto) Highness Kiwia (Maji)...hizi wizara zote zimekuwa kwenye misuko sukomingi tangu Cabinet mpya ichaguliwe lakini hawa wa Chadema wamekuwa kimya hakuna aliyekuja na alternative policy paper yoyote kutuambia what's wrong with policies za CCM. It can be argued kuwa Freeman kujaza wanawake wasio na uwezo ni sawa na feminisation of Chadema, which to my mind is a good thing because it is going to get screwed from now on mpaka watakapo amka na kuja with proper lineup.
Perhaps Freeman's political adviser will be Halima Mdee? It has become a parody for shadow male Politicians. The only things we can expect from Freeman are parrot phases, from someone pulling his strings. The question who exactly is this unknown person?
Kama mnabisha waambieni walete C,V za hiyo Shadow Cabinet ndio mtaelewa kuwa these jokers. For this, its fair to say kuwa never in the field of human conflict in the land of Kilimanjaro...has so much damage, been inflicted on so many people, by so few...muppets!