Mujumba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 853
- 306
wafuasi wa chama cha chadema ndani ya jf wameanza kutapatapa na kutafuta pa kujificha kutokana na hoja nzito zinazotolewa na watu ambao si wana chadema! hali hii imesababisha watu hao ambao wako against ktk jf kupachikwa majina mbalimbali kama vile "vifisadi vitoto","mbumbumbu," "mashoga" nk na kama hiyo haitoshi pia wamepokea matusi makali sana ikiwa eti ni njia ya kuwavunja moyo na kuwarudisha nyuma watu hao! lakini kimsingi watu hao wanaonekana wamejipanga sawasawa kuleta changamoto mpya katika jf na kupambana vilivyo na cdm kwa hoja nzito zitakosaidia kuijenga nchi yetu!