wafuasi wa chama cha chadema ndani ya jf wameanza kutapatapa na kutafuta pa kujificha kutokana na hoja nzito zinazotolewa na watu ambao si wana chadema! hali hii imesababisha watu hao ambao wako against ktk jf kupachikwa majina mbalimbali kama vile "vifisadi vitoto","mbumbumbu," "mashoga" nk na kama hiyo haitoshi pia wamepokea matusi makali sana ikiwa eti ni njia ya kuwavunja moyo na kuwarudisha nyuma watu hao! lakini kimsingi watu hao wanaonekana wamejipanga sawasawa kuleta changamoto mpya katika jf na kupambana vilivyo na cdm kwa hoja nzito zitakosaidia kuijenga nchi yetu!
wafuasi wa chama cha chadema ndani ya jf wameanza kutapatapa na kutafuta pa kujificha kutokana na hoja nzito zinazotolewa na watu ambao si wana chadema! hali hii imesababisha watu hao ambao wako against ktk jf kupachikwa majina mbalimbali kama vile "vifisadi vitoto","mbumbumbu," "mashoga" nk na kama hiyo haitoshi pia wamepokea matusi makali sana ikiwa eti ni njia ya kuwavunja moyo na kuwarudisha nyuma watu hao! lakini kimsingi watu hao wanaonekana wamejipanga sawasawa kuleta changamoto mpya katika jf na kupambana vilivyo na cdm kwa hoja nzito zitakosaidia kuijenga nchi yetu!
endeleeni kumwaga pumba zenu sisi tuna assess tuu umakini wenu katika kujibu mapigo! kweli kama hiki ndo hiki kizazi cha cdm basi hamfai hata kidogo kupewa nchi nyie
endeleeni kumwaga pumba zenu sisi tuna assess tuu umakini wenu katika kujibu mapigo! kweli kama hiki ndo hiki kizazi cha cdm basi hamfai hata kidogo kupewa nchi nyie
endeleeni kumwaga pumba zenu sisi tuna assess tuu umakini wenu katika kujibu mapigo! kweli kama hiki ndo hiki kizazi cha cdm basi hamfai hata kidogo kupewa nchi nyie
....what is your Joining Date to JF??? Kila Post unalipwa shilingi ngapi na Makamba au chiligati au Sokwe Tyson au RA??
pumba,,,,,,,,,,,,,wafuasi wa chama cha chadema ndani ya jf wameanza kutapatapa na kutafuta pa kujificha kutokana na hoja nzito zinazotolewa na watu ambao si wana chadema! hali hii imesababisha watu hao ambao wako against ktk jf kupachikwa majina mbalimbali kama vile "vifisadi vitoto","mbumbumbu," "mashoga" nk na kama hiyo haitoshi pia wamepokea matusi makali sana ikiwa eti ni njia ya kuwavunja moyo na kuwarudisha nyuma watu hao! lakini kimsingi watu hao wanaonekana wamejipanga sawasawa kuleta changamoto mpya katika jf na kupambana vilivyo na cdm kwa hoja nzito zitakosaidia kuijenga nchi yetu!
Sahihi yako mkuu, umeniacha hoi. Mwanaume kupenda mwanaume mwingine, mhhh...
Au na wewe ni moja ya wale akina Mama Tanzania mlio kwenye list ya Mlo wa vigogo wa CCM?