Kwakuwa sasa mchakato wa kuwafukuza wale wanawake 19 wakiopewa ubunge wa viti maalumu kinyume na taratibu umekamilika kwa Baraza kuu kutoa maamuzi, ni vema sasa CHADEMA ipeleke barua rasmi kwa spika kuhusu maamuzi hayo na kisha uteue wabunge rasmi sasa wa viti maalumu jwa kufuata taratibu za chama kwakuwa wanatambua kuwepo kwa serikali ndiyo maana hata Mwenyekiti alipofutiwa kesi yake alialikwa na rais ikulu na akaenda wakajadiliana naye.
Wasipo fanya hivyo tutaamini kuwa baadhi ya viongozi wana maslahi na wale wasaliti 19
Wanaenda kutapishwa Kodi za wananchi 🤔Usiwe na haraka Sana. Wanaweza kusamehewa na kurudishwa kundini.
Kwakuwa sasa mchakato wa kuwafukuza wale wanawake 19 wakiopewa ubunge wa viti maalumu kinyume na taratibu umekamilika kwa Baraza kuu kutoa maamuzi, ni vema sasa CHADEMA ipeleke barua rasmi kwa spika kuhusu maamuzi hayo na kisha uteue wabunge rasmi sasa wa viti maalumu jwa kufuata taratibu za chama kwakuwa wanatambua kuwepo kwa serikali ndiyo maana hata Mwenyekiti alipofutiwa kesi yake alialikwa na rais ikulu na akaenda wakajadiliana naye.
Wasipo fanya hivyo tutaamini kuwa baadhi ya viongozi wana maslahi na wale wasaliti 19
Kwanini usisubiri wabunge wengine 2025?Kwakuwa sasa mchakato wa kuwafukuza wale wanawake 19 wakiopewa ubunge wa viti maalumu kinyume na taratibu umekamilika kwa Baraza kuu kutoa maamuzi, ni vema sasa CHADEMA ipeleke barua rasmi kwa spika kuhusu maamuzi hayo na kisha uteue wabunge rasmi sasa wa viti maalumu jwa kufuata taratibu za chama kwakuwa wanatambua kuwepo kwa serikali ndiyo maana hata Mwenyekiti alipofutiwa kesi yake alialikwa na rais ikulu na akaenda wakajadiliana naye.
Wasipo fanya hivyo tutaamini kuwa baadhi ya viongozi wana maslahi na wale wasaliti 19
Hawa watoke tu kwani dharau waliyoinesha kwa cdm kama taasisi haivumiliki sana sana bwana yule aliyekuwa mwenyekiti wa bawacha .Hao covid 19 wafurushwe kwa hook or crookKwanini usisubiri wabunge wengine 2025?
Unapata hasara gani wakibaki au kuondolewa.
Can you please share maamuzi ya Baraza Kuu?. Kiukweli sisi wengine utafikiri hatuko Duniani!.Kwakuwa sasa mchakato wa kuwafukuza wale wanawake 19 waliopewa ubunge wa viti maalumu kinyume na taratibu umekamilika kwa Baraza kuu kutoa maamuzi,
Baraza kuu halijakaa mdau sijui hii kaipata wapiCan you please share maamuzi ya Baraza Kuu?. Kiukweli sisi wengine utafikiri hatuko Duniani!.
P
Chadema ilisha malizana na haiwatambui ,Hawa Covid 19 ni wa Mwendazake,Ndugai na Tulia.ilikuwa gia ya kugombea msaada kwa wafadhili.Kwakuwa sasa mchakato wa kuwafukuza wale wanawake 19 waliopewa ubunge wa viti maalumu kinyume na taratibu umekamilika kwa Baraza kuu kutoa maamuzi, ni vema sasa CHADEMA ipeleke barua rasmi kwa Spika kuhusu maamuzi hayo na kisha uteue wabunge rasmi sasa wa viti maalumu kw kufuata taratibu za chama
Kwakuwa wanatambua kuwepo kwa serikali ndiyo maana hata Mwenyekiti alipofutiwa kesi yake alialikwa na Rais Ikulu na akaenda wakajadiliana naye.
Wasipo fanya hivyo tutaamini kuwa baadhi ya viongozi wana maslahi na wale wasaliti 19
kimezikwa mwaka gani?Acheni roho mbaya waacheni hao wadada wambulie raha za mwisho mwisho za chadema
Chama chenyewe kimeshakufa tayari
Utakufa wewe kabla ya Chadema .Magufuli ameshafariki kitambo.Acheni roho mbaya waacheni hao wadada wambulie raha za mwisho mwisho za chadema
Chama chenyewe kimeshakufa tayari
Msiwalaumu Covid 19 wala msiwalaumu viongozi wa chadema.Hawa watoke tu kwani dharau waliyoinesha kwa cdm kama taasisi haivumiliki sana sana bwana yule aliyekuwa mwenyekiti wa bawacha .Hao covid 19 wafurushwe kwa hook or crook
Kwakuwa sasa mchakato wa kuwafukuza wale wanawake 19 waliopewa ubunge wa viti maalumu kinyume na taratibu umekamilika kwa Baraza kuu kutoa maamuzi, ni vema sasa CHADEMA ipeleke barua rasmi kwa Spika kuhusu maamuzi hayo na kisha uteue wabunge rasmi sasa wa viti maalumu kw kufuata taratibu za chama
Kwakuwa wanatambua kuwepo kwa serikali ndiyo maana hata Mwenyekiti alipofutiwa kesi yake alialikwa na Rais Ikulu na akaenda wakajadiliana naye.
Wasipo fanya hivyo tutaamini kuwa baadhi ya viongozi wana maslahi na wale wasaliti 19
Baraza kuu limeshaamua wametimuliwa kabisa. Hata kama likiwasamehe lazima waanze upya kwakuwa utaratibu haukufuatwa
A big NO.Kwakuwa sasa mchakato wa kuwafukuza wale wanawake 19 waliopewa ubunge wa viti maalumu kinyume na taratibu umekamilika kwa Baraza kuu kutoa maamuzi, ni vema sasa CHADEMA ipeleke barua rasmi kwa Spika kuhusu maamuzi hayo na kisha uteue wabunge rasmi sasa wa viti maalumu kw kufuata taratibu za chama
Kwakuwa wanatambua kuwepo kwa serikali ndiyo maana hata Mwenyekiti alipofutiwa kesi yake alialikwa na Rais Ikulu na akaenda wakajadiliana naye.
Wasipo fanya hivyo tutaamini kuwa baadhi ya viongozi wana maslahi na wale wasaliti 19
Naunga mkono hojaKwakuwa sasa mchakato wa kuwafukuza wale wanawake 19 waliopewa ubunge wa viti maalumu kinyume na taratibu umekamilika kwa Baraza kuu kutoa maamuzi, ni vema sasa CHADEMA ipeleke barua rasmi kwa Spika kuhusu maamuzi hayo na kisha uteue wabunge rasmi sasa wa viti maalumu kw kufuata taratibu za chama
Kwakuwa wanatambua kuwepo kwa serikali ndiyo maana hata Mwenyekiti alipofutiwa kesi yake alialikwa na Rais Ikulu na akaenda wakajadiliana naye.
Wasipo fanya hivyo tutaamini kuwa baadhi ya viongozi wana maslahi na wale wasaliti 19
Wasaliti waliitwa na tume ya uchaguzi
Chadema waipeleke mahakamani tume ya uchaguzi ambayo ndio iliita wale covid kwenda Bungeni