Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,764
- 908
Haya maneno ndio yanazidi kuwagawa Watanzania, kama huyu member yeye akili yake inamtuma CDM ni chama cha Wakiristu na CCM ni chama cha Waislam.Mujahedeen wa Tanzania!ndiyo maana vitoto vinafundishwa karate kwenye baadhi ya madrassa!! Hii kitu inaelekea ina baraka kutoka kwa mkulu mwenyewe ndiyo maana jamaa hata hawadhibitiwi!
Kila lenye mwanzo lina mwisho na pia majuto ni mjukuu.Chama cha CHADEMA sasa kinaelekea ukingoni na hii ni kutokana kudhihirika kwa yale yalokuwepo chini ya Blanketi.Tangu siku nyingi chadema imekuwa imeshutumiwa kuwa ni chama cha kidini huku viongozi wake wakijaribu kuzitetea siri hizo zilizo katika uvungu wa kapeti.sasa siri hizo zimefichuka nahivyo wafuasi wake kuanza kung'amua na hivyo kukata tamaa na chama hicho kilchoaminiwa kama cha kitetezi huku kikijificha.Na sasa viongozi wa chadema wanajilaumu kwa kufanya kikao hicho kilichofichua siri.
hata kafu tuliambiwa kuwa ni chama cha kidini. usenge huu. tulishauzoea. kila anayepingana na CCM ni mdini. mafala nyie. you'll never stop us.
Watumishi wa Magamba mnafanya kazi kubwa sana na ya kuchosha kweli kweli. lakini ima ni niliyo nayo ni kwamba hamlipwi inavyotakiwa. Hebu fikiria namna mnavyofanya bidii kutunga uongo na kuufanya uwe na sura ya ukweli. Fikiria mnavyofunga macho na masikio yenu msione ukweli kweupe na hatimaye mkaabudu uongo mkubwa na kuitaka jamii iamini ujinga wenu.
Ninajua kuwa kama watu wengine mngependa kuheshimiwa kama wajanja wengine lakini mmejitoa sadaka muhesabiwe kuwa uchafu kwa maneno yenu ya siasa za maji taka. Kwa hakika mnastahili pongezi kwa bidii hii na kujitolea sadaka.
Tatizo ni kwamba mnajitolea sadaka kwa mungu mkengemfu. mungu aliyelaaniwa, mungu wa mafisadi.
Poleni sana!!!!!!!!!!
hawawezi kuisoma. Hata wakisoma wanasoma kinyume!. Hawaelewi. Njaa baba!! Na uwezo wetu mdogo wa kupambambanua mambo.Wana Magamba wanapaswa waisome hii tena. Imetulia!Ukifuatilia mjadala bungeni; wanawasema CDM kuwa wanajifanya hawaoni maendeleo ambayo chama cha magamba kimeleta halafu wanaanza kulalamika: "Kwa miaka mingi sasa tumeahidiwa kujengewa ...(hiki na kile) lakini mpaka sasa hakuna. Hizo pesa zinazotengwa huwa zinaenda wapi?" ... Halafu mwishoni: "Naunga mkono hoja asilimia 100."Kazi ya wana magamba ni kujipendekeza ili waendelee kupokea posho.
Wasira au Tyson ni mkatoliki
Unambwelambwela tu hata unachoeleza hakieleweki jipange upya uje na Hoja ya Msingi.Kila lenye mwanzo lina mwisho na pia majuto ni mjukuu.Chama cha CHADEMA sasa kinaelekea ukingoni na hii ni kutokana kudhihirika kwa yale yalokuwepo chini ya Blanketi.Tangu siku nyingi chadema imekuwa imeshutumiwa kuwa ni chama cha kidini huku viongozi wake wakijaribu kuzitetea siri hizo zilizo katika uvungu wa kapeti.sasa siri hizo zimefichuka nahivyo wafuasi wake kuanza kung'amua na hivyo kukata tamaa na chama hicho kilchoaminiwa kama cha kitetezi huku kikijificha.Na sasa viongozi wa chadema wanajilaumu kwa kufanya kikao hicho kilichofichua siri.
Kila lenye mwanzo lina mwisho na pia majuto ni mjukuu.Chama cha CHADEMA sasa kinaelekea ukingoni na hii ni kutokana kudhihirika kwa yale yalokuwepo chini ya Blanketi.Tangu siku nyingi chadema imekuwa imeshutumiwa kuwa ni chama cha kidini huku viongozi wake wakijaribu kuzitetea siri hizo zilizo katika uvungu wa kapeti.sasa siri hizo zimefichuka nahivyo wafuasi wake kuanza kung'amua na hivyo kukata tamaa na chama hicho kilchoaminiwa kama cha kitetezi huku kikijificha.Na sasa viongozi wa chadema wanajilaumu kwa kufanya kikao hicho kilichofichua siri.
Kilichonishangaza ni kwamba mwanzilishi wa thread hii siyo malaria sugu!!!!!!!