mwamajinja mapunga
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 1,074
- 609
nitakufa kwa ajili ya chadema....Mwakyembe ajipange lkn hawezi UKAWA
Mungu akulinde sana mkuu , uimara wa cdm umetokana na uongozi imara na kuimarika kwa ujasiri miongoni mwa wananchi , kitu ambacho mtu kama wasira hakukijua kutokana na kupitwa na wakati .
ha ha ha ha!!! kweli kaka,kila mchaga unae mkuta mikoa mingine lazima awe CDM.
Chadema chama cha kikabila na ukoo kwa upande huo kweli kiko imara make kama hujatokea mikoa yao uongozi ndani ya chama hupati.
Tutahakikisha tunapambana nao hapahapa jf kudadeki , hatuwezi kuwaachia ngedere shamba la mahindi .
Huyo Mungu wa chadema huwa simuelewi kabisa lazima atakuwa mchaga tu.
haa haa kama ccm inavyoongoza kwa rushwa na ufisadi.kwa ukabila CDM wanaongoza kwa kweli
Hiyo bajeti ya laptop imenivunja mbavu sana !Mainterahamwe wanakosa raha sana kwamba pamoja na kuweka bajeti ya kununua laptop na kuajiri wasaliti wanaolipwa buku 7 kwa siku bado juhudi zao za kuvuruga mijadala, kutukana watu n.k. ili kuliteka jamvi na kulifanya la MACCM hazijafanikiwa.
Mainterahamwe wanakosa raha sana kwamba pamoja na kuweka bajeti ya kununua laptop na kuajiri wasaliti wanaolipwa buku 7 kwa siku bado juhudi zao za kuvuruga mijadala, kutukana watu n.k. ili kuliteka jamvi na kulifanya la MACCM hazijafanikiwa.
Hakuna la maana hapo..propaganda tupu
Mkuu tofautisha serikali na chama!
Ulishawahi kuona ccm inaomba omba?
Inamiradi kibao na vitega uchumi kibao
Chadema sinapitiliza mifukoni hakuna hata mradi wa kuchoma mahindi!
Hata posho za wenyekiti wa mikoa hakuna ruzuku yote inaishia makao makuu.
Lakini bado hao wenyekiti wanafanya kazi 100% ni furaha na uzalendo wa kweli.
nakubaliana na wewe tena siku Msekwa anatoa kauli hiyo alikuwa anafanya mahojiano na mwandishi Matinyi na Mimi nilikuwepo pale ArushaAsante mkuu.Ila kuna watu ndani ya CCM wameshasoma maandishi ukutani.Msekwa kwa kuweweseka aliropoka kuwa CHADEMA sasa hivi ina nguvu kama TANU ya enzi zile.Hayo yalikua ni maneno ya kuona kitu mbele.
nakubaliana na wewe tena siku Msekwa anatoa kauli hiyo alikuwa anafanya mahojiano na mwandishi Matinyi na Mimi nilikuwepo pale Arusha