CHADEMA sasa ni taasisi imara zaidi

CHADEMA sasa ni taasisi imara zaidi

Chadema ni chama cha kupiga ruzuku
Ni chama ambacho hakina malengo endelevu.
Hakina mradi wowote zaidi ya kutegemea ruzuku na misaada kutoka kwa wafadhiri.
Ni chama ambacho kimepanga toka 1992 mpaka leo licha ya kuwa na wabunge 49 lakini viongozi wake wanamajumba Dubai na Ulaya.

Kwahiyo kama hivyo ndivyo nini maoni yako??
 
Ni kweli lakini kuna baadhi ya maeneo watu wameshindwa kutofautisha kati ya ccm na chadema kimatendo. Kwa mfano kipi kilichofanya wakose wabunge wa viti maalumu mikoa ya ruvuma, dodoma, njombe na hata tabora? Huu ni udhaifu uleule wa kiccm?

mosi, mpango wao wa viti maalumu hauendi komikoa, hata vyenyewe havikuwa vinatosha mikoa iliyopo.
pili, mkoa wa Njombe haukuwapo wakati huo
tatu, mkoa wa Dodoma hawakuwa ba sapoti yoyote, hata leo magamba wameugeza ndondocha
 
Mkuu pamoja na kuwa hawa Buku 7 wanaudhi na kukera sana, walimwaga makusudi hapa kuja kuvuruga mijadala muhimu kutukana watu na kuandika uzushi wa kila aina dhidi ya CHADEMA na UKAWA. MACCM waliona hili jamvi linakuwa ni tishio kubwa kwao, na ndio sababu ya kuwapa ajira hawa buku 7 ili waandike pumba zao 24/7.

Tukiwaachia hawa waandike uzushi wao wa kila aina basi uzushi wao unaweza kukubalika na kuonekana ni ukweli Mkuu. Hivyo wengi pamoja na kuwa hatupendi kujibizana nao lakini wakati mwingine inakuwa hakuna jinsi au vinginevyo wangeshaliteka hili jamvi na kulifanya la Mainterahamwe lakini juhudi zao hizo mpaka sasa hivi zimegonga ukuta.


MKUU BAK.Nafuatilia sana post zako humu JF.Ufahamu wako na uchambuzi wako uko juu sana.kinachonisikisha ni jinsi unavyopoteza muda,hekima na busara kulielewesha robot lililokaririlishwa hoja moja tu kwa miaka 10.ya ukabila na udini ambaya imefeli.BAK naomba tumia muda wako hata kwa sentensi moja kutupa elimu ambayo wewe ni mtoaji mzuri sana.Imethibitika kuwa Simiyu Yetu, Laki si pesa hawa sio binadamu ni robots zimerekodiwa maneno fulani ili kupambana na hoja motomoto za wana CHADEMA kama wewe.fuatilia coments zao huwa zinajirudiarudi.Leo anatoa koment hii kesho ile keshokutwa ile mtondogoo ile halafu anakuja kurudia tena aliotoa siku ya kwanza.yaani tunabishana ya robot inayotumia CD.
 
Mungu hafanyi kama maccm watakavyo ila anafanya kila kitu kwa wakati muafaka ndiyo maana kuna wenye afya na wagonjwa na wote ni wa mungu, Cdm ni mpango wa mungu kubali kataa
 
Chadema chama cha kikabila na ukoo kwa upande huo kweli kiko imara make kama hujatokea mikoa yao uongozi ndani ya chama hupati.

Maneno na hoja kama hizi ndio zinaendelea kuifanya CHADEMA iwe imara zaidi chama cha kikabila kina wabunge na madiwani kila kona ya nchi, kachukue ujira wako pale kwa matapeli wenzio Lumumba.
 
Mkuu pamoja na kuwa hawa Buku 7 wanaudhi na kukera sana, walimwaga makusudi hapa kuja kuvuruga mijadala muhimu kutukana watu na kuandika uzushi wa kila aina dhidi ya CHADEMA na UKAWA. MACCM waliona hili jamvi linakuwa ni tishio kubwa kwao, na ndio sababu ya kuwapa ajira hawa buku 7 ili waandike pumba zao 24/7.

Tukiwaachia hawa waandike uzushi wao wa kila aina basi uzushi wao unaweza kukubalika na kuonekana ni ukweli Mkuu. Hivyo wengi pamoja na kuwa hatupendi kujibizana nao lakini wakati mwingine inakuwa hakuna jinsi au vinginevyo wangeshaliteka hili jamvi na kulifanya la Mainterahamwe lakini juhudi zao hizo mpaka sasa hivi zimegonga ukuta.

Mkuu BAK nimekusoma.Endelea kutoa darasa kwa hao robots wa Lumumba,kwani darasa lako pitawakomboa na wengine wasiojitambua na hata wale wenye njaa ya elimu lakini hawana mwalimu.Toa somo mkuu hasa kwa hawa wenye mioyo migumu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mosi, mpango wao wa viti maalumu hauendi komikoa, hata vyenyewe havikuwa vinatosha mikoa iliyopo.
pili, mkoa wa Njombe haukuwapo wakati huo
tatu, mkoa wa Dodoma hawakuwa ba sapoti yoyote, hata leo magamba wameugeza ndondocha
hayo sio majibu ya kumridhisha mtu, labda ni mtazamo wako, chadema kama kina lengo la kukamata dola lazima kiwe na uwakilishi wa kutosha kila pembe ya nchi, hakukuwa na sababu kutoa wabunge wawili ndani ya eneo moja kwa mfano mbeya mjini, sugu alitosha, nafasi ya viti maalumu ingetolewa kwenye maeneo yale ambayo cdm hawakupata wabunge wa kuchaguliwa. Hili limekuwa kosa kubwa.
 
Chadema ni chama cha kupiga ruzuku
Ni chama ambacho hakina malengo endelevu.
Hakina mradi wowote zaidi ya kutegemea ruzuku na misaada kutoka kwa wafadhiri.
Ni chama ambacho kimepanga toka 1992 mpaka leo licha ya kuwa na wabunge 49 lakini viongozi wake wanamajumba Dubai na Ulaya.

Mara nyingi mchoyo anakuwa ombaomba sana maana ni msahaulifu,ni kama mbwa ukimpa mfupa halafu ukataka kuuchukua anakushughulikia na meno.CCM wako hivyo wamesahau kuwa mwenyekiti wao kila wakati mguu na njia kuomba misaada nje ya nchi.Leo hii CDM wanategemea wafadhili.
 
Mara nyingi mchoyo anakuwa ombaomba sana maana ni msahaulifu,ni kama mbwa ukimpa mfupa halafu ukataka kuuchukua anakushughulikia na meno.CCM wako hivyo wamesahau kuwa mwenyekiti wao kila wakati mguu na njia kuomba misaada nje ya nchi.Leo hii CDM wanategemea wafadhili.

Mkuu tofautisha serikali na chama!
Ulishawahi kuona ccm inaomba omba?
Inamiradi kibao na vitega uchumi kibao
Chadema sinapitiliza mifukoni hakuna hata mradi wa kuchoma mahindi!
Hata posho za wenyekiti wa mikoa hakuna ruzuku yote inaishia makao makuu.
 
Mungu yupi mkuu? Huyo mungu atakuwa dhaifu sana amekubali Chadema kiwe chama cha upinzani.

kwa maneno yako inaonyesha una tamani sana ungekuwa Mwarabu.
 
Mungu akulinde sana mkuu , uimara wa cdm umetokana na uongozi imara na kuimarika kwa ujasiri miongoni mwa wananchi , kitu ambacho mtu kama wasira hakukijua kutokana na kupitwa na wakati .
 
Chadema chama cha kikabila na ukoo kwa upande huo kweli kiko imara make kama hujatokea mikoa yao uongozi ndani ya chama hupati.

Wakati wewe unahangaika na ukabila cdm inateketeza mkoa wa Mbeya !
 
Mkuu pamoja na kuwa hawa Buku 7 wanaudhi na kukera sana, walimwaga makusudi hapa kuja kuvuruga mijadala muhimu kutukana watu na kuandika uzushi wa kila aina dhidi ya CHADEMA na UKAWA. MACCM waliona hili jamvi linakuwa ni tishio kubwa kwao, na ndio sababu ya kuwapa ajira hawa buku 7 ili waandike pumba zao 24/7.

Tukiwaachia hawa waandike uzushi wao wa kila aina basi uzushi wao unaweza kukubalika na kuonekana ni ukweli Mkuu. Hivyo wengi pamoja na kuwa hatupendi kujibizana nao lakini wakati mwingine inakuwa hakuna jinsi au vinginevyo wangeshaliteka hili jamvi na kulifanya la Mainterahamwe lakini juhudi zao hizo mpaka sasa hivi zimegonga ukuta.
Tutahakikisha tunapambana nao hapahapa jf kudadeki , hatuwezi kuwaachia ngedere shamba la mahindi .
 
  • Thanks
Reactions: BAK
ha ha ha ha!!! kweli kaka,kila mchaga unae mkuta mikoa mingine lazima awe CDM.

Kwa hiyo CCM mmepeleka watu wa kabila gani kuongoza CHAMA CHENU MKOA WA KILIMANJARO?
NI HATARI, KABILA ZIMA LIMEWAKATAA?
 
Jinsi siku zinavyozidi kusonga mbele ndo CHADEMA inavyozidi kuirimaki na kupendwa na Watanzania hata vijijini sasa hivi wanajua CHADEMA ndo chama cha ukombozi kipo kwa ajili ya wote! CCM wamejaribu kutumia kila mbinu kukidhoofisha lakini imewawia vigumu! CHADEMA iko imara!
 
Back
Top Bottom