Meya wa Jiji unamlinganisha na mcheza show wa Dar.mimi nasubiri huo utekelezaji hasa DSM ambako meya wa hili jiji amepotelea sijui wapi mungu wangu....na sijui watatimiza vipi hiyo ilani chini ya mhe.makonda..
Meya wa Jiji unamlinganisha na mcheza show wa Dar.mimi nasubiri huo utekelezaji hasa DSM ambako meya wa hili jiji amepotelea sijui wapi mungu wangu....na sijui watatimiza vipi hiyo ilani chini ya mhe.makonda..
Hawajielewi chukulia jiji kama dar unakuta meya chadema naibu meya Cuf hivi hapo utatumia ilani ya Cuf au chadema kuendesha halmashauri?Ni mambo yasiyowezekana. Fedha zinatolewa kwa kuzingatia Ilani ya Chama Tawala. Labda watoe mifukoni mwao! Naona ni kwa kiwango gani hiki Chama kisivyoelewa uendeshaji wa Nchi
Hawajielewi chukulia jiji kama dar unakuta meya chadema naibu meya Cuf hivi hapo utatumia ilani ya Cuf au chadema kuendesha halmashauri?Ni mambo yasiyowezekana. Fedha zinatolewa kwa kuzingatia Ilani ya Chama Tawala. Labda watoe mifukoni mwao! Naona ni kwa kiwango gani hiki Chama kisivyoelewa uendeshaji wa Nchi
Ndicho alichotamka lowasa siku ya kwanza ya kampeni kuwa anayetaka kujua ilani aende kwenye tovuti kuanzia hapo hakuinadi tena akawa ananadi muungano wa kitapeli wa Ukawa ambao haukuwa na ilani hata moja iliyoandikwa popote zaidi ya kulaghai watu wachague Ukawa usiokuwa na ilani.Ipo kwenye tovuti ya CHADEMA, nenda kaisome.
Kwahiyo bila yeye huwezi kuishi.Aliyekuwa na akili CHADEMA alikuwa Dr. Slaa tuu waliobaki sasa ni zero kabisa
Zero mwingine huyu.Sasa umeandika nini hapa? Kuishi na kuwa na akili ni vitu viwili tofauti ndio maana wewe huna akili lakini unaishiKwahiyo bila yeye huwezi kuishi.
Hivi meya wa jiji yupo mkuu,huyu jamaa na katibu was sasa chama sioni kabisa kazi yao...Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, wamesema watatumia ilani yao kuongoza halmashauri zilizo chini yake kwani kutumia ya CCM ni kufifisha uhai wa chama
CHADEMA hawana ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, wamesema watatumia ilani yao kuongoza halmashauri zilizo chini yake kwani kutumia ya CCM ni kufifisha uhai wa chama
Ilani ipi sasa?!Ya mabadiliko ni FISADI,au?!pole sana sasa kinakuwewesesha nini tulia tuje na Ilani yetu
Sheria ya vyama vingi inasemaje kuhusu hilo?Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, wamesema watatumia ilani yao kuongoza halmashauri zilizo chini yake kwani kutumia ya CCM ni kufifisha uhai wa chama
Achana nayo ma lofa hayo!Ni mambo yasiyowezekana. Fedha zinatolewa kwa kuzingatia Ilani ya Chama Tawala. Labda watoe mifukoni mwao! Naona ni kwa kiwango gani hiki Chama kisivyoelewa uendeshaji wa Nchi