CHADEMA Sasa Kuongoza Halmashauri zote zilizo chini yake kutumia ilani yake

Ilani ya Chadema siijui na sijawahi kuiona wala kuisikia popote maana hata kipindi cha uchaguzi walikuwa wakinadi kuwa watu wachague Ukawa aliyewahi ona ilani ya Ukawa atuwekee hapa.Ukawa waliendesha kampeni za Ukawa bila kuwa na ilani yaani matapeli wa kutupwa
Umbumbu wako tu kufatilia sisi tulikuwa nazo kibao..

Usipo fatilia maana yake una haja kama Mimi ambavyo sina haja na Ilani ya ccm.....

Siwezi ichukua hata nikiletewa
 
Otherwise pesa inayokusanywa na halmashauri haikusanywi na mhasibu wa chama
 
Siku zote walikuwa wapi leo hii ndio wanasema hivyo muda unaenda na wananchi wanataka maendeleo.Hawana jipya pyeeee pyeeee pyeeee nyingi tu.
 
mimi nasubiri huo utekelezaji hasa DSM ambako meya wa hili jiji amepotelea sijui wapi mungu wangu....na sijui watatimiza vipi hiyo ilani chini ya mhe.makonda..
Mkuu usimkosee heshima kwa kumuita tu mh. makonda. Uwe unaandika Mungu Makonda.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, wamesema watatumia ilani yao kuongoza halmashauri zilizo chini yake kwani kutumia ya CCM ni kufifisha uhai wa chama
Hakuna jipya nasubiri yale yale tuuu siwaamini kabisa hawa jamaa.Wanashinda rose garden tu
 
Hapa kuna haja ya Elimu kutoka Tume ya uchaguzi. Hii sio Serikali ya majimbo.
Acha ujinga kuna kazi za serikali kuu na za jimbo kama ni hivyo unavyotaka basi kwenye uchaguzi wapinzani wasingepewa ruhusa ya kutengeneza ilani ya jimbo na kunadi sera zao
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, wamesema watatumia ilani yao kuongoza halmashauri zilizo chini yake kwani kutumia ya CCM ni kufifisha uhai wa chama
Hizi bangi za kuvutia chooni unatakiwa uziache kasome sheria ya tume ya uchaguzi ipo wazi kuwa ilani inayotekelezwa ni ile ya chama kilichoshinda.
 
Haya tumieni hiyo Ilani yenu tuone impact yake!!! (Nyumbu bhana sijui wanatumia nini kufikiria )
 
Mbowe na Mzee wa Upako wanafanana aina ya Wafuasi walionao.

Mtendaji Mkuu wa Halmashauri ni Mkurugenzi wa Halmashauri ambae kateuliwa na Rais na kakabidhiwa Ilani ya CCM na Mafungu yote yanapita kwake Kazi ya Baraza la Madiwani ni kuidhinisha Bajeti si Malipo
Ongezea:-
Kazi ya baraza la madiwani ni kushauri tu.
 
Ni mambo yasiyowezekana. Fedha zinatolewa kwa kuzingatia Ilani ya Chama Tawala. Labda watoe mifukoni mwao! Naona ni kwa kiwango gani hiki Chama kisivyoelewa uendeshaji wa Nchi
Sumaye na Kingunge ndio walimu wao, walisema wanaenda huko kuwafundisha namna ya kuendesha serikali.
 
Back
Top Bottom