CHADEMA sasa kumekucha

Pole sana maana huo ndiyo ukomo wa akili yako ya kafundishwa na chakubanga
Wahi ukachukue buku 7 lumumba chumba namba 3
Hata kama si mwanachama wa chama chochote, michango yako humu ni mipasho tu, huna la maana sasa unalozungumzia kwenye kupinga. Upo tu kama mzomeaji mpiga makelele basi.
 
Wewe ni sawa na wale makasuku wa mjengoni
Ona sasa kama haya uliyoandika hapa, yanasaidia nini kwa yeyote anayekusoma.
Usidhani ninakuonea, rudi nyuma tangu ulipojiunga na jukwaa hili la JF, michango yako yote ni ya aina hii hii!
 
Haikusaidii chochote wewe kama unaona michango yangu ina madhaifu basi pitia kushoto hulazimishwi kuchangia
Ona sasa kama haya uliyoandika hapa, yanasaidia nini kwa yeyote anayekusoma.
Usidhani ninakuonea, rudi nyuma tangu ulipojiunga na jukwaa hili la JF, michango yako yote ni ya aina hii hii!
 
Mkuu nipo tayari kutoa kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya chama katika mji wa Katesh wilayani Hanang na wapo watu wengi walio tayari kuchangia ujenzi tatizo tuna viongozi wasio na vision wilaya
 
Majengo mapya ila mwisho wa siku chaliiiii, wanarudi palepale, kelele nyiiiingi.
 
Yasije kutokea tu mambo ya CUF na ACT.
 
Hutaki kanywe sumu
Wanaoifahamu Musoma maeneo ya Nyasho watakupa jibu zuri. Huyu mzushi aliwahi kuja humu na basi la chadema toka Ubelgiji, sijui kama limeshatua Ufipa.
 
Ubarikiwe sana mkuu na watu kama nyinyi wenye moyo wa ukombozi wa dhati mpo wachache sana
Mkuu nipo tayari kutoa kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya chama katika mji wa Katesh wilayani Hanang na wapo watu wengi walio tayari kuchangia ujenzi tatizo tuna viongozi wasio na vision wilaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…