ilboru1995
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,329
- 269
...Lema kichwa wewe, si unaona alivyosaidia kuupata waraka? mbona hamjadili tena kitofari alichomrushia Mwigamba? akina Kitila na PhD yake anaomba radhi kwa sababu ya Lema.hivi mtu unaweza kuhamia CDM kwa ushawishi wa LEMA?
Hali ya chama cha demokrasia na maendeleo mkoani Ruvuma kina hali mbaya kufuatia mwenyekiti wake wa mkoa Joseph Fuime na Katibu wa jimbo Mbogolo kutokuwa na maelewano kwa muda mrefu sasa.
Chanzo cha mgongano ni ubunge 2015 ambapo Joseph Fuime ana mpango wa kugombea nafasi hiyo huku nae Mbogolo anaitaka kwa udi na uvumba.
Imefikia hatua baadhi ya wanachama wameanza kufungasha virago na kutimkia vyama vingine.
Aidha baadhi ya madiwani wamegawanyika ambapo wengine wako upande wa Fuime na wengine kwa Mbogolo.
Tarehe 28.11.2013 chama hicho kinafanya kikao na moja ya agenda inaedaiwa kuwa itahusu msimamo wa CHADEMA kuhusu kunyang'anywa madaraka ya chama Zitto Kabwe.
Chanzo cha taarifa kutoka ndani ya CHADEMA kimetonya kuwa swala la Zitto limeongeza mpasuko ambapo kundi kubwa la viongozi wa wilaya na mkoa liko upande wa Zitto Kabwe,kundi hilo linaongozwa na Fuime
hivi mtu unaweza kuhamia CDM kwa ushawishi wa LEMA?
...Lema kichwa wewe, si unaona alivyosaidia kuupata waraka? mbona hamjadili tena kitofari alichomrushia Mwigamba? akina Kitila na PhD yake anaomba radhi kwa sababu ya Lema.
Kamwe hatuwezi kuukubali ujinga kama huu!Jamani lichama hili limeshajifia hivi kwanini hamkubali.....!!!!
Wewe ni taka tu ndani ya chadema hatukutambui kabisa unapga kelele za bure usitufuatilie.
Sio bure unafikiri kitambi ndio ujanja...chadema ukijua maneno pipozi pawa, fisadi, magamba na msaliti tayari wewe umekuwa mwanasiasa. Hakuna sharti jingine ni hilo tu mkuu. Ndo maana kumejaa wenye jazba na wavimba uso tupu!
Hahaha na wewe ni nani ndani ya CHADEMA unayetambulika?