Mangimeli
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,151
- 286
Ushabiki mwingine siuelewagi jamani,Ikishinda CCM sehemu yeyote Sheria imebakwa Ikishinda CHADEMA sehemu yeyote haki imetendeka kwani CCM haina haki ya kishinda katika sehemi yeyote au kwa jambo lolote na hako ikawa imetendeka hili linakera kuna,mwingine anayekerwa na,hili kama mimi??