TURUFUDUME
Member
- Dec 14, 2014
- 70
- 39
Mimi naiona proposal nzuri sana kwa kuwa chadema kina nguvu majimboni kitaweza kumbeba lipumba katika urais kwa kuwa kura zitatoka Chadema, Jamani hebu kubalkaneni tuivue CCM nguo kwa mara ya kwanza huko baadae tukija kugombana sawa tu kwani urais unakazi gani ya maana kama kuna waziri mkuu shupavu?
Chukuwa gwara a.k.a 5, umenielewa vya kutosha broooooooooooo.
Chadema kinaendelea kujifanya Mungu mtu ndani ya UKAWA hii imetokana na chama hicho kulazimisha lazima kiwaburuze vyama vyengine ndani ya UKAWA, hii imekuja baada ya chadema kutaka kitowe rais na wabunge wengi jambo lililopingwa na vyama vyengine ambavo vimetaka aidha chadema watowe rais na makamu wake au kitowe wabunge wengi ili kije kitowe waziri mkuu, jambo lililoungwa mkono na vyama vyote ambavo vimetaka magawanyo kati ya Chadema na Cuf, cuf watowe rais na makamo wake, chadema kitowe wabunge wengi ilikijekitowe waziri mkuu, au kinyume chake, ambapo cuf wapo tayari kwa hilo lakin Chadema hawako tayari wanataka waachiwe vyote, jambo ambalo limepingwa na vyama vyote, .Matusi sitaki usiniulize akanambia nani, swali je viongozi wa chadema na wafuasi wake hio ni haki? MZEE WAKENGEJA Pemba .
Chadema kinaendelea kujifanya Mungu mtu ndani ya UKAWA hii imetokana na chama hicho kulazimisha lazima kiwaburuze vyama vyengine ndani ya UKAWA, hii imekuja baada ya chadema kutaka kitowe rais na wabunge wengi jambo lililopingwa na vyama vyengine ambavo vimetaka aidha chadema watowe rais na makamu wake au kitowe wabunge wengi ili kije kitowe waziri mkuu, jambo lililoungwa mkono na vyama vyote ambavo vimetaka magawanyo kati ya Chadema na Cuf, cuf watowe rais na makamo wake, chadema kitowe wabunge wengi ilikijekitowe waziri mkuu, au kinyume chake, ambapo cuf wapo tayari kwa hilo lakin Chadema hawako tayari wanataka waachiwe vyote, jambo ambalo limepingwa na vyama vyote, .Matusi sitaki usiniulize akanambia nani, swali je viongozi wa chadema na wafuasi wake hio ni haki? MZEE WAKENGEJA Pemba .
Chadema kinaendelea kujifanya Mungu mtu ndani ya UKAWA hii imetokana na chama hicho kulazimisha lazima kiwaburuze vyama vyengine ndani ya UKAWA, hii imekuja baada ya chadema kutaka kitowe rais na wabunge wengi jambo lililopingwa na vyama vyengine ambavo vimetaka aidha chadema watowe rais na makamu wake au kitowe wabunge wengi ili kije kitowe waziri mkuu, jambo lililoungwa mkono na vyama vyote ambavo vimetaka magawanyo kati ya Chadema na Cuf, cuf watowe rais na makamo wake, chadema kitowe wabunge wengi ilikijekitowe waziri mkuu, au kinyume chake, ambapo cuf wapo tayari kwa hilo lakin Chadema hawako tayari wanataka waachiwe vyote, jambo ambalo limepingwa na vyama vyote, .Matusi sitaki usiniulize akanambia nani, swali je viongozi wa chadema na wafuasi wake hio ni haki? MZEE WAKENGEJA Pemba .
Cuf itoe rais na makamu,...........kuliko hivo chadema wajitoe ukawa tuone hao viburi watafika wapi.
chadema imekuwa na operation nyingi mno,ina wabunge wengi,,,,halafu leo cuf watoe mgombea urais na makamu?
kama hivo heri kutengana chadema tunajiamini.
Yaani ukawa tukizingua tutapotea,kumbukeni mkizingua wafuasi huko kwingine magufuli anauzika
uongo utakusaidia nini mkuu ?