CHADEMA 'Pasua kichwa' UKAWA

CHADEMA 'Pasua kichwa' UKAWA

Hujui hata unachokiongea wewe !

Kwa namna hiyo basi, majimbo ya Zanzibar na urais wa Zanzibar nayo yagawanywe sawa kwa washirika wengine wa UKAWA ! Na huko nako watachaguliwa na members wote wa UKAWA ?. Nako huko kuna wanachama wa NLD, CDM na NCCR !

Unaonaje tungefanya hivyo !?

Nyie ni wahuni, ukisha sema Ukawa inamaana mgombea atapigiwa kura na wana Ukawa wote bila kujari vyama na hiyo ndo maana harisi. Sasa mnaanzaje kusema eti CUF ina wanachama wachache bara ndo maana maana hamataki Lipumba awe rais, kwani hizo kura anapigiwa na wanachama wake ama atapigiwa na na wana Uka wote? sasa kwanini mnawadanganya CUF eti wana wanachama wachache wakati kama ni kura anakuja kupigiwa na wana Ukawa wote? nyinyi CDM muache ulaghai na ubinafsi kwasababu nmaonesha wazi akiri zenu zote ni kutaka vyeo na kuviumiza vyama vingine, hii si sawa hata kidogo
 
Hapa ndipo nilijua tu pataleta tatizo.yaani position zinaonekana kama ni ulaji flani.badala ya kugawana majimbo based na kiwanvo vani chama husika kinakubalika CDM wao wanataka kujipangia maeneo dhaifu halafu yale ambayo ni strong hold za MCC waa hie vyama vingine.Huu si ubaraza
 
Mimi wasiwas wangu upo kwenye mshiko, yaaan ruzuku, baada ya October!! Unajua kura za rais zinatumika kutafuta kiasi gani chama kitapewa ruzuku Sasa kama CDM hakitasimamisha raisi ina maana mtaji wote wa ruzuku unaenda kwa chama kilichosimamisha rais. Hapo ndiyo pagumu ndiyo mana kila chama kinataka kisimamishe raisi.SAsa UKAWA siyo chama bali ni muungano na unaweza kuvunjika. Je CDM wapo tayari kutoa ruzuku yao kwa miaka mitano ijayo wakati wao wana mtaji wa wapiga kura kuliko vyama vingine ndani ya UKAWA? hapo ndiyo shughuli ilipo kwa kila chama ndani ya UKAWA
 
Back
Top Bottom