CHADEMA 'Pasua kichwa' UKAWA

CHADEMA 'Pasua kichwa' UKAWA

Hivi Ukawa bado ipo? Inasubiri nini? Rais ni Magufuli. Warudi shamba wakalime
 
Chadema kinaendelea kujifanya Mungu mtu ndani ya UKAWA hii imetokana na chama hicho kulazimisha lazima kiwaburuze vyama vyengine ndani ya UKAWA, hii imekuja baada ya chadema kutaka kitowe rais na wabunge wengi jambo lililopingwa na vyama vyengine ambavo vimetaka aidha chadema watowe rais na makamu wake au kitowe wabunge wengi ili kije kitowe waziri mkuu, jambo lililoungwa mkono na vyama vyote ambavo vimetaka magawanyo kati ya Chadema na Cuf, cuf watowe rais na makamo wake, chadema kitowe wabunge wengi ilikijekitowe waziri mkuu, au kinyume chake, ambapo cuf wapo tayari kwa hilo lakin Chadema hawako tayari wanataka waachiwe vyote, jambo ambalo limepingwa na vyama vyote, .Matusi sitaki usiniulize akanambia nani, swali je viongozi wa chadema na wafuasi wake hio ni haki? MZEE WAKENGEJA Pemba .

mtu mwongo, mnafki aliyetumwa kupandikiza uhongo tena haipendezi mtu mzima kuwa muongo kama wewe! Either uko under 18 au mtu mzima usiejielewa
 
mmechelewa sana..km starter ya Lowasa tayari mna homa...anapoleta mvinyo mezani si mtaokotwa chooni mkipiga mswaki ktk shimo.project Kingunge haijawa na mafanikio kihivyo kiasi hca kuiacha ccm iwe na time ya kwenda amsha mamluki wake ktk upinzani.
 
Mimi naiona proposal nzuri sana kwa kuwa chadema kina nguvu majimboni kitaweza kumbeba lipumba katika urais kwa kuwa kura zitatoka Chadema, Jamani hebu kubalkaneni tuivue CCM nguo kwa mara ya kwanza huko baadae tukija kugombana sawa tu kwani urais unakazi gani ya maana kama kuna waziri mkuu shupavu?

Ndugu Lipumba hana mvuto na hauziki kukubali mpango huo ni kukubali kushindwa.
 
Mimi naiona proposal nzuri sana kwa kuwa chadema kina nguvu majimboni kitaweza kumbeba lipumba katika urais kwa kuwa kura zitatoka Chadema, Jamani hebu kubalkaneni tuivue CCM nguo kwa mara ya kwanza huko baadae tukija kugombana sawa tu kwani urais unakazi gani ya maana kama kuna waziri mkuu shupavu?

Nadhani lipumba anafaa kua waziri mkuu na sio rais
Maoni yangu tu!
 
Chadema kinaendelea kujifanya Mungu mtu ndani ya UKAWA hii imetokana na chama hicho kulazimisha lazima kiwaburuze vyama vyengine ndani ya UKAWA, hii imekuja baada ya chadema kutaka kitowe rais na wabunge wengi jambo lililopingwa na vyama vyengine ambavo vimetaka aidha chadema watowe rais na makamu wake au kitowe wabunge wengi ili kije kitowe waziri mkuu, jambo lililoungwa mkono na vyama vyote ambavo vimetaka magawanyo kati ya Chadema na Cuf, cuf watowe rais na makamo wake, chadema kitowe wabunge wengi ilikijekitowe waziri mkuu, au kinyume chake, ambapo cuf wapo tayari kwa hilo lakin Chadema hawako tayari wanataka waachiwe vyote, jambo ambalo limepingwa na vyama vyote, .Matusi sitaki usiniulize akanambia nani, swali je viongozi wa chadema na wafuasi wake hio ni haki? MZEE WAKENGEJA Pemba .

Kama ni hivyo bora CDM waende kivyao, kwani CUF, NCCR na NLD wanaihitaji sana CDM kuliko inavyovihitaji hivyo vyama vingine.

BTW, mimi ninafikiri CDM imepata viti vingi vya ubunge kwasababu ya VIGEZO walivyojiwekea? Je, CUF inataka ipewe wabunge wengi kwa VIGEZO vipi?
 
Binafsi nimechoka na kutofikia muafaka ndani ya UKAWA
 
Zitto alishasema watu wanaogawana vyeo ni wasaka tonge, tunayaona sasa
 
Kama ni hivyo bora CDM waende kivyao, kwani CUF, NCCR na NLD wanaihitaji sana CDM kuliko inavyovihitaji hivyo vyama vingine.

BTW, mimi ninafikiri CDM imepata viti vingi vya ubunge kwasababu ya VIGEZO walivyojiwekea? Je, CUF inataka ipewe wabunge wengi kwa VIGEZO vipi?
Wasaka tonge
 
Mgogoro huo unaweza kuwepo na watu inatakiwa tuelewe kuja kwa UKAWA kumefanya baadhi ya VYAMA kutoendelea na Operations zao zakueneza CHAMA waliwaachia CDM peke yao kwa Lengo lakusafiria Nyota ya CDM kwenye Mgongo wa UKAWA tujiulize Chama km NLD na NCCR tangu walipotoka kwenye BUNGE. LA KATIBA wamefanya Mikutano mingapi,,,Kiukweli Viongoz wa CDM ni waungwana sana wamekubali kuungana kuitikia Takwa la wananchi kuunganisha nguvu na vyama vingine lkn kama wangekomaa wenyewe wangeweza kufanya vzr sababu wanamtandao mkubwa Kwahiyo hivyo vyama vingine vikubali tu sababu haiwezekani wengine waweSITE wengine wawe mtaani then tugawane sawa hii haikubaliki
 
Chadema kinaendelea kujifanya Mungu mtu ndani ya UKAWA hii imetokana na chama hicho kulazimisha lazima kiwaburuze vyama vyengine ndani ya UKAWA, hii imekuja baada ya chadema kutaka kitowe rais na wabunge wengi jambo lililopingwa na vyama vyengine ambavo vimetaka aidha chadema watowe rais na makamu wake au kitowe wabunge wengi ili kije kitowe waziri mkuu, jambo lililoungwa mkono na vyama vyote ambavo vimetaka magawanyo kati ya Chadema na Cuf, cuf watowe rais na makamo wake, chadema kitowe wabunge wengi ilikijekitowe waziri mkuu, au kinyume chake, ambapo cuf wapo tayari kwa hilo lakin Chadema hawako tayari wanataka waachiwe vyote, jambo ambalo limepingwa na vyama vyote, .Matusi sitaki usiniulize akanambia nani, swali je viongozi wa chadema na wafuasi wake hio ni haki? MZEE WAKENGEJA Pemba .

Source ni wewe mwenyewe au umeambiwa ukasikia?
 
Back
Top Bottom