Hivi hujakua tu kimaono. Tangu kampeni zianze hujagundua tu kwamba kutegemea katika mafuriko ni ukichaa kwani kote kote wanafurika na kushangilia huku wakibaki na siri yao moyoni?
Huu ni mwaka wa mwisho wa uhai wa ccm,watu wanataka mabadiliko,na has a kuiondoa ccm madarakani,ni aibu nchi inapoteza 30% ya pato LA taifa kutokana na rushwa,pesa hoi ingetosha kuboresha huduma za afya na elimu,i nchi inaibiwa an,viva ukawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.