Tunategemea kuwa na kikundi cha wapambanaji ambacho hakitahusisha viongozi wa chama wala wabunge.
Kikundi hiki kitakuwa na jukumu la kuzunguka Tanzania nzima kuhamasisha vijana kuona umuhimu wa kujiandikisha na kupiga kura.
Kikundi hiki kitakuwa ni cha watu waliojitolea na walio tayari kufanya kazi usiku na mchana katika kuleta uhuru wa kweli kwenye nchi yetu.
Pendekeza kikundi kiitweje na nani ungependa awe mmoja wa wapambanaji.
Kikundi hiki kitakuwa na jukumu la kuzunguka Tanzania nzima kuhamasisha vijana kuona umuhimu wa kujiandikisha na kupiga kura.
Kikundi hiki kitakuwa ni cha watu waliojitolea na walio tayari kufanya kazi usiku na mchana katika kuleta uhuru wa kweli kwenye nchi yetu.
Pendekeza kikundi kiitweje na nani ungependa awe mmoja wa wapambanaji.