Chama ambacho kinashika namba 2 kwa kupata ruzuku, kimeshindwa kupata ofisi yenye hadhi katika manispaa ya Temeke. Ofisi ya wilaya ni fedheha tupu ipo mkabala na Kisuma Bar Mwenbe Yanga hivyo inakuwa ni kero kwa wanachama kutembelea ofisi.
CHADEMA badilikeni!! Ruzuku mnapata, mnamalizia katika maandamano??
Kama mko qualified kujenga chama, nendeni mkajenge kaburi la ccm. wengine hatujali hata ikifa na tukaitupa mtoni iwe chakula cha mamba.
Umefakia ofisi za mikoa hali mbaya. Viongozi wa Chadema mikoa hali mbaya.
wazo suri sana,Chama ambacho kinashika namba 2 kwa kupata ruzuku, kimeshindwa kupata ofisi yenye hadhi katika manispaa ya Temeke. Ofisi ya wilaya ni fedheha tupu ipo mkabala na Kisuma Bar Mwenbe Yanga hivyo inakuwa ni kero kwa wanachama kutembelea ofisi.
CHADEMA badilikeni!! Ruzuku mnapata, mnamalizia katika maandamano??
Tume ya katiba,SABODO, alituahidi na tuna uhakika hatatuangusha!
MAFILILI, soma hapo juuOfisi angalau iwe na viti na meza
Ofisi yenye 'hadhi' maane yake nini?
hivi wewe unajua ofisi nyingi za ccm zimejengwa kwa kodi yako na ufisadi!
Simsomi jamaaa katoa mada gani.Hahahahahahaaaa!!!!
Wewe ni mkareee!!!
Chama ambacho kinashika namba 2 kwa kupata ruzuku, kimeshindwa kupata ofisi yenye hadhi katika manispaa ya Temeke. Ofisi ya wilaya ni fedheha tupu ipo mkabala na Kisuma Bar Mwenbe Yanga hivyo inakuwa ni kero kwa wanachama kutembelea ofisi.
CHADEMA badilikeni!! Ruzuku mnapata, mnamalizia katika maandamano??